sirluta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 6,325
- 2,486
Salam wadau,
Mkeo amekuaga kwenda kwenye interview, huko akapata rafiki wakapeana namba na wanawasiliana, mara umeikuta namba ni ya x-gal wako mlikutana chuo, na rafiki huyo amekuwa akimwambia mkeo amsalimie shemeji.
Kama mwanaume nini cha kufanya hapo endapo ulimwahidi x-gal huyo kumwoa mara baada ya chuo mkakata mawasiliano na namba ukabadili kabisa?
Mkeo amekuaga kwenda kwenye interview, huko akapata rafiki wakapeana namba na wanawasiliana, mara umeikuta namba ni ya x-gal wako mlikutana chuo, na rafiki huyo amekuwa akimwambia mkeo amsalimie shemeji.
Kama mwanaume nini cha kufanya hapo endapo ulimwahidi x-gal huyo kumwoa mara baada ya chuo mkakata mawasiliano na namba ukabadili kabisa?