Ushauri kuhusu kununua gari kutoka kampuni ya Be Forward

Akujuze nini? Uhakika wa gari kufika, malipo, magari yenyewe au nini? Hii ilishaongelewa humu ila kwa ufupi jamaa wako smart na faster, I'm dealing with them regularly. Beware of fake Beforward!!
 
Habari wana forum! Naombeni ushauri pia kwa anayefahamu gharama za utoaji gari bandarini, maana nataka kuagiza na ndio mara yangu ya kwanza, kabla sijaagiza nimeona niombe ushauri pia kama kuna ma agent wanisaidie.
Nataka gari ya specifications zifuatazo

2003 TOYOTA WILL CYPHA

Current FOB price: $809
TOTAL PRICE CIF: $1,992

Specs Ref No BF199095
Location NAGOYA
Mileage 96,829
Model Code UA-NCP70
Registration Year/month 2003/3
Manufacture Year/month 2003/3
Version/Class Chassis # NCP70-0015711
Engine Size 1,290cc
Engine Code - Drive 2wheel drive
Ext. Color Red
Steering Right
Transmission. Automatic
Fuel Gasoline/Petrol
Seats 5 Doors 5
Dimension (L×W×H) 3.69×1.67×1.53
m M3 9.428
Weight 990 kg
 

Attachments

  • tmp_BF199095_1c475c1001876049.jpg
    tmp_BF199095_1c475c1001876049.jpg
    53.6 KB · Views: 1,409
Kwa ka uzoefu kadogo ongeza kama usd 2000/ kwenye hiyo cif ya usd 1992/ jumla itakuwa usd 3992/ .
 
Mkuu kwa gari hiyo andaa Shs.3,551,617/= kuligomboa bandarini,pia Shs.300,000/= port charges na Shs.250,000/= gharama za wakala atakayekutolea hilo gari. Likishafika uraiani kuna motor vehicle registration fee,kama Shs.220,000/=,Shs.150,000/= road licence na Bima kama Shs.220,000/=,upo????,jipange mwanangu kila kitu kinawezekana.Kwa hiyo jumla kuu itakuwa:(($1992*1630)+3,551,617+300,000+250,000+220,000+150,000+220,000)=8,038,577/=,kila la kheri Mkuu
 
Mkuu kwa gari hiyo andaa Shs.3,551,617/= kuligomboa bandarini,pia Shs.300,000/= port charges na Shs.250,000/= gharama za wakala atakayekutolea hilo gari. Likishafika uraiani kuna motor vehicle registration fee,kama Shs.220,000/=,Shs.150,000/= road licence na Bima kama Shs.220,000/=,upo????,jipange mwanangu kila kitu kinawezekana.Kwa hiyo jumla kuu itakuwa:(($1992*1630)+3,551,617+300,000+250,000+220,000+150,000+220,000)=8,038,577/=,kila la kheri Mkuu

asante kwa maelekezo mazuri mkuu, nimekuelewa zaidi ulipofafanua kuwa port charge ni Shs. 300,000/= Agent ni Shs. 250,000/= pia gharama zingine za bima, registration, road licence. Ningependa kujua hiyo Shs.3,551,617/= ufafanuzi wake pia, au hiyo ni gharama ambayo tra wanatoa in general tu bila uchanganuzi? asante
 
Mkuu kwa gari hiyo andaa Shs.3,551,617/= kuligomboa bandarini,pia Shs.300,000/= port charges na Shs.250,000/= gharama za wakala atakayekutolea hilo gari. Likishafika uraiani kuna motor vehicle registration fee,kama Shs.220,000/=,Shs.150,000/= road licence na Bima kama Shs.220,000/=,upo????,jipange mwanangu kila kitu kinawezekana.Kwa hiyo jumla kuu itakuwa:(($1992*1630)+3,551,617+300,000+250,000+220,000+150,000+220,000)=8,038,577/=,kila la kheri Mkuu

Umenena vema. Mie nimeingiza raum ya mwaka 2005. CIF ilikua ni $3,500. TRA Wamechota kama 4.4m, agent fee kilo 3 na mengine uliyoyataja. Jumla mpaka nikapewa mkononi ni 5.5 kwa bongo pekee
 
habari wanna jf je umepata wapi jedwali LA mahesabu LA tra ?kama Luna MTU analog naliomba il I nipige hesabu mwenyewe na kama pia kuna kampuni nzuri zaidi ya be forward naombeni jina lake .asanteni .na pia kama kuna kampuni ambayo tayari INA yard dar naombeni jina asanteni
 
Mkuu hapo wote wapo sahihi maana hata breakdown yangu imekaa hivi. hapo sijaweka mapato na jumla inakuja kama (TSH 4,501,751+CIF). Kama unataka agent wa bei ya chini kabisa sema. yupo Dar

1. Customs Duties & Taxes,Registration and other custom charges 3,843,345
2. Number Plate cost 40,000
3. Port charges 439,750/=
4. Agency Fee 200,000 (300,000)
5. Insurance 3rd party 50,000
6. Shipping line charges 130,000
7. Fire Extinguisher 1Kg 25,000
8. Driver from port/ICD 5,000
 
Mkuu hapo wote wapo sahihi maana hata breakdown yangu imekaa hivi. hapo sijaweka mapato na jumla inakuja kama (TSH 4,501,751+CIF). Kama unataka agent wa bei ya chini kabisa sema. yupo Dar

1. Customs Duties & Taxes,Registration and other custom charges 3,843,345
2. Number Plate cost 40,000
3. Port charges 439,750/=
4. Agency Fee 200,000 (300,000)
5. Insurance 3rd party 50,000
6. Shipping line charges 130,000
7. Fire Extinguisher 1Kg 25,000
8. Driver from port/ICD 5,000

Hauko sahihi.
 
Umenena vema. Mie nimeingiza raum ya mwaka 2005. CIF ilikua ni $3,500. TRA Wamechota kama 4.4m, agent fee kilo 3 na mengine uliyoyataja. Jumla mpaka nikapewa mkononi ni 5.5 kwa bongo pekee

mbona tra wamekubamiza sana wakati,gari haina dumping fee,maaana ni less than 10 years,kwa mujibu wa calculator yao mpya?
 
Karibu sana kwa msaada zaidi unaweza kuingia hapa wwww.dolphincargo.com kupata information zaidi ila kwa hapa nikupe dondoo zitakazoweza kukupa mwanga wa Uhakika na unachotaka kufanya..
Makisio ya Gharama ni kama zifuatazo (Zingatia Rate ya Dola inapanda na Kushuka nimetumia ya $1 kwa tsh 1600)
>>Customs Duties Tsh 3,873,010
>>Port Charges Tsh 186,912
>>Shipping Charges Ths 131,200
>>Plate No Tsh 38,000
>>Agency Fees Tsh 250,000
>>Compressive Insurance Tsh 269,500 (Thamani ya Gari ni Tsh 7,700,000)
>>Makisio ya kuitoa Gari yako Bandarini Itakucost Tsh 4,758,622



Habari wana forum! Naombeni ushauri pia kwa anayefahamu gharama za utoaji gari bandarini, maana nataka kuagiza na ndio mara yangu ya kwanza, kabla sijaagiza nimeona niombe ushauri pia kama kuna ma agent wanisaidie.
Nataka gari ya specifications zifuatazo

2003 TOYOTA WILL CYPHA

Current FOB price: $809
TOTAL PRICE CIF: $1,992

Specs Ref No BF199095
Location NAGOYA
Mileage 96,829
Model Code UA-NCP70
Registration Year/month 2003/3
Manufacture Year/month 2003/3
Version/Class Chassis # NCP70-0015711
Engine Size 1,290cc
Engine Code - Drive 2wheel drive
Ext. Color Red
Steering Right
Transmission. Automatic
Fuel Gasoline/Petrol
Seats 5 Doors 5
Dimension (L×W×H) 3.69×1.67×1.53
m M3 9.428
Weight 990 kg
 
Umenena vema. Mie nimeingiza raum ya mwaka 2005. CIF ilikua ni $3,500. TRA Wamechota kama 4.4m, agent fee kilo 3 na mengine uliyoyataja. Jumla mpaka nikapewa mkononi ni 5.5 kwa bongo pekee

Duh mbona inshu, kwahiyo wanakuwekea tu kiasi cha kulipa bila maelezo, na wala hawaangalii gari ni ya mwaka gani? Cc nk.
 
Mkuu hapo wote wapo sahihi maana hata breakdown yangu imekaa hivi. hapo sijaweka mapato na jumla inakuja kama (TSH 4,501,751+CIF). Kama unataka agent wa bei ya chini kabisa sema. yupo Dar

1. Customs Duties & Taxes,Registration and other custom charges 3,843,345
2. Number Plate cost 40,000
3. Port charges 439,750/=
4. Agency Fee 200,000 (300,000)
5. Insurance 3rd party 50,000
6. Shipping line charges 130,000
7. Fire Extinguisher 1Kg 25,000
8. Driver from port/ICD 5,000

Asante kwa maelekezo mazuri, kwa hiyo kwa gari hiyo ninayotaka kuagiza kwa CIF ya usd 2000 niandae usd zingine kama 3000 kwaajili ya kuclear from port sio, pia agent wa bei rahis sio muhimu maana pesa nyingi yaishia tra, nadhani ni vizur kumlipa agent vizur ili afanye kazi kwa usahihi.
 
Duh mbona inshu, kwahiyo wanakuwekea tu kiasi cha kulipa bila maelezo, na wala hawaangalii gari ni ya mwaka gani? Cc nk.

Usiwe mvivu kaka, ingia kwenye website ya tra kipo kikokotoo, hata humu nadhani kipo, search tu utakipata wadau walishakileta.
 
Umenena vema. Mie nimeingiza raum ya mwaka 2005. CIF ilikua ni $3,500. TRA Wamechota kama 4.4m, agent fee kilo 3 na mengine uliyoyataja. Jumla mpaka nikapewa mkononi ni 5.5 kwa bongo pekee

Mkuu mffumo wetu wa kukokotoa ushuru kwa imports unatufanya wabongo tukose mambo mengi sana mazuri,hawajui huenda kama wangeweka fair watu wengi sana wangeagiza vitu kutoka nje na wangepata fedha nyingi sana kuliko hawa wachache wanaozimudu hizi gharama,hivyo kulikosesha Taifa fedha nyingi sana
 
asante kwa maelekezo mazuri mkuu, nimekuelewa zaidi ulipofafanua kuwa port charge ni Shs. 300,000/= Agent ni Shs. 250,000/= pia gharama zingine za bima, registration, road licence. Ningependa kujua hiyo Shs.3,551,617/= ufafanuzi wake pia, au hiyo ni gharama ambayo tra wanatoa in general tu bila uchanganuzi? asante

Hiyo Milioni tatu kaka ukienda kwenye tovuti ya TRA kuna kalkuleta wameiweka kwa ajili ya kukokotoa ushuru wa magari uagiziapo kutoka nje,kwa hiyo ukiplag thamani ya gari yako husika,mauchakavu n.k ndio hesabu inakuja huko nilipokutajia,ukiidownload hyo kalculeta itakuwa useful sana pale utakapotaka kuagiza magari Mkuu,kila la kheri
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom