Kwa ka uzoefu kadogo ongeza kama usd 2000/ kwenye hiyo cif ya usd 1992/ jumla itakuwa usd 3992/ .
Mkuu kwa gari hiyo andaa Shs.3,551,617/= kuligomboa bandarini,pia Shs.300,000/= port charges na Shs.250,000/= gharama za wakala atakayekutolea hilo gari. Likishafika uraiani kuna motor vehicle registration fee,kama Shs.220,000/=,Shs.150,000/= road licence na Bima kama Shs.220,000/=,upo????,jipange mwanangu kila kitu kinawezekana.Kwa hiyo jumla kuu itakuwa($1992*1630)+3,551,617+300,000+250,000+220,000+150,000+220,000)=8,038,577/=,kila la kheri Mkuu
Mkuu kwa gari hiyo andaa Shs.3,551,617/= kuligomboa bandarini,pia Shs.300,000/= port charges na Shs.250,000/= gharama za wakala atakayekutolea hilo gari. Likishafika uraiani kuna motor vehicle registration fee,kama Shs.220,000/=,Shs.150,000/= road licence na Bima kama Shs.220,000/=,upo????,jipange mwanangu kila kitu kinawezekana.Kwa hiyo jumla kuu itakuwa($1992*1630)+3,551,617+300,000+250,000+220,000+150,000+220,000)=8,038,577/=,kila la kheri Mkuu
Mkuu hapo wote wapo sahihi maana hata breakdown yangu imekaa hivi. hapo sijaweka mapato na jumla inakuja kama (TSH 4,501,751+CIF). Kama unataka agent wa bei ya chini kabisa sema. yupo Dar
1. Customs Duties & Taxes,Registration and other custom charges 3,843,345
2. Number Plate cost 40,000
3. Port charges 439,750/=
4. Agency Fee 200,000 (300,000)
5. Insurance 3rd party 50,000
6. Shipping line charges 130,000
7. Fire Extinguisher 1Kg 25,000
8. Driver from port/ICD 5,000
Umenena vema. Mie nimeingiza raum ya mwaka 2005. CIF ilikua ni $3,500. TRA Wamechota kama 4.4m, agent fee kilo 3 na mengine uliyoyataja. Jumla mpaka nikapewa mkononi ni 5.5 kwa bongo pekee
Habari wana forum! Naombeni ushauri pia kwa anayefahamu gharama za utoaji gari bandarini, maana nataka kuagiza na ndio mara yangu ya kwanza, kabla sijaagiza nimeona niombe ushauri pia kama kuna ma agent wanisaidie.
Nataka gari ya specifications zifuatazo
2003 TOYOTA WILL CYPHA
Current FOB price: $809
TOTAL PRICE CIF: $1,992
Specs Ref No BF199095
Location NAGOYA
Mileage 96,829
Model Code UA-NCP70
Registration Year/month 2003/3
Manufacture Year/month 2003/3
Version/Class Chassis # NCP70-0015711
Engine Size 1,290cc
Engine Code - Drive 2wheel drive
Ext. Color Red
Steering Right
Transmission. Automatic
Fuel Gasoline/Petrol
Seats 5 Doors 5
Dimension (L×W×H) 3.69×1.67×1.53
m M3 9.428
Weight 990 kg
Umenena vema. Mie nimeingiza raum ya mwaka 2005. CIF ilikua ni $3,500. TRA Wamechota kama 4.4m, agent fee kilo 3 na mengine uliyoyataja. Jumla mpaka nikapewa mkononi ni 5.5 kwa bongo pekee
Mkuu hapo wote wapo sahihi maana hata breakdown yangu imekaa hivi. hapo sijaweka mapato na jumla inakuja kama (TSH 4,501,751+CIF). Kama unataka agent wa bei ya chini kabisa sema. yupo Dar
1. Customs Duties & Taxes,Registration and other custom charges 3,843,345
2. Number Plate cost 40,000
3. Port charges 439,750/=
4. Agency Fee 200,000 (300,000)
5. Insurance 3rd party 50,000
6. Shipping line charges 130,000
7. Fire Extinguisher 1Kg 25,000
8. Driver from port/ICD 5,000
Duh mbona inshu, kwahiyo wanakuwekea tu kiasi cha kulipa bila maelezo, na wala hawaangalii gari ni ya mwaka gani? Cc nk.
Umenena vema. Mie nimeingiza raum ya mwaka 2005. CIF ilikua ni $3,500. TRA Wamechota kama 4.4m, agent fee kilo 3 na mengine uliyoyataja. Jumla mpaka nikapewa mkononi ni 5.5 kwa bongo pekee
asante kwa maelekezo mazuri mkuu, nimekuelewa zaidi ulipofafanua kuwa port charge ni Shs. 300,000/= Agent ni Shs. 250,000/= pia gharama zingine za bima, registration, road licence. Ningependa kujua hiyo Shs.3,551,617/= ufafanuzi wake pia, au hiyo ni gharama ambayo tra wanatoa in general tu bila uchanganuzi? asante
Usiwe mvivu kaka, ingia kwenye website ya tra kipo kikokotoo, hata humu nadhani kipo, search tu utakipata wadau walishakileta.