MeyaMbaruku
Member
- Jul 23, 2016
- 12
- 5
Habari Wana JF naomba kuuliza Kama ifuatavyo
1. Kilimo Cha UFUTA mbeya kinalimwa wilaya gani
2. Masoko baada ya kuvuna yanapatikanaje hapo wilayani
3. Mtaji wake kuanzia kukodi shamba,kulima na kuvuna mpaka kuuza no kiasi gani
4. Lakini gharama za maisha hapo MKOANI kuanzia mahala pa kuishi,chakula na changamoto za hapo no Nini ili nikija nije nimejianda kwa Kila kitu kinachowezekana
USHAURI wenu ndugu Wana JF ahsante
1. Kilimo Cha UFUTA mbeya kinalimwa wilaya gani
2. Masoko baada ya kuvuna yanapatikanaje hapo wilayani
3. Mtaji wake kuanzia kukodi shamba,kulima na kuvuna mpaka kuuza no kiasi gani
4. Lakini gharama za maisha hapo MKOANI kuanzia mahala pa kuishi,chakula na changamoto za hapo no Nini ili nikija nije nimejianda kwa Kila kitu kinachowezekana
USHAURI wenu ndugu Wana JF ahsante