Ushauri kuhusu kilimo cha ufuta mkoani Mbeya

MeyaMbaruku

Member
Jul 23, 2016
12
5
Habari Wana JF naomba kuuliza Kama ifuatavyo

1. Kilimo Cha UFUTA mbeya kinalimwa wilaya gani

2. Masoko baada ya kuvuna yanapatikanaje hapo wilayani

3. Mtaji wake kuanzia kukodi shamba,kulima na kuvuna mpaka kuuza no kiasi gani

4. Lakini gharama za maisha hapo MKOANI kuanzia mahala pa kuishi,chakula na changamoto za hapo no Nini ili nikija nije nimejianda kwa Kila kitu kinachowezekana

USHAURI wenu ndugu Wana JF ahsante
 
Habari Wana JF naomba kuuliza Kama ifuatavyo

1. Kilimo Cha UFUTA mbeya kinalimwa wilaya gani
[Nilikutana na ufuta mwingi Sana wilaya ya Chunya hasahasa kwenye bonde la ufa]
2. Masoko baada ya kuvuna yanapatikanaje hapo wilayani
[Nilikuwa na shughuli zangu za data collection, wakulima walinijibu wanunuzi huwa wanatoka Mbeya mjini wanaenda kununua, Bei sikumbuki]
3. Mtaji wake kuanzia kukodi shamba,kulima na kuvuna mpaka kuuza no kiasi gani

4. Lakini gharama za maisha hapo MKOANI kuanzia mahala pa kuishi,chakula na changamoto za hapo no Nini ili nikija nije nimejianda kwa Kila kitu kinachowezekana

USHAURI wenu ndugu Wana JF ahsante
Wilaya ya Chunya MeyaMbaruku
 
Nimekutana na ufuta wilaya ya Chunya kwenye bonde la ufa, unalimwa Sana hapo. Pia Mkoa wa Songwe
 
Sehemu kubwa ya mkoa wa Songwe ndio wanalima sana ufuta pamoja na jirani zao mkoa wa Rukwa, mbeya sio sana kutokana na ikolojia yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom