Mr Misifa
JF-Expert Member
- Sep 13, 2019
- 255
- 470
Haya hamna kitu onakula chaji sana haitunzi
Chukua ata s6 edge mkuu
Chukua ata s6 edge mkuu
Iy0 ipo juu sana
Mkuu hii kitu unaangaliaje?Achana na watu wanaokuambia sijui uchukue upuuzi gani hawajawahi hata kutumia hizo simu wanazokuambia uchukue,mi nakushauri chukua A10,mimi mwenyewe natembea kifua mbele na A10View attachment 1238231
Huyo unayemtagi mbona hatoagi mwongozo sasa!!
Chukua ata s6 edge mkuu
Hayo ni MAHABA , sio kuTaGHuyo unayemtagi mbona hatoagi mwongozo sasa!!
Mi mwenyewe nmemushaur aichukue mnyama a10 aenjoy maisha hiyo infinix hamna cm hapo Mtk nayo ni cm tena mtk ya kizamani bora ingekuwa ya sasa kama ikiyopo kweny A10s mtifautishe a10 ya kawaida na a10s