Habar zenu wana jamvi..
Mimi ni mwanafunzi ambaye nilimaliza kozi ya Foundation ya Open University na kufaulu. Pia hadi sasa tayari chuo kimeshaniruhusu kuanza mwaka wa kwanza degree, lakini tatzo linakuja vipi kuhusu kauli za Waziri wa Elimu kuhusu course hiyo.
Msaada wenu tafadhali, je niendelee na degree au niache?
Mimi ni mwanafunzi ambaye nilimaliza kozi ya Foundation ya Open University na kufaulu. Pia hadi sasa tayari chuo kimeshaniruhusu kuanza mwaka wa kwanza degree, lakini tatzo linakuja vipi kuhusu kauli za Waziri wa Elimu kuhusu course hiyo.
Msaada wenu tafadhali, je niendelee na degree au niache?