Biashara ya samaki

Huwezi pata faida, unless unataka kuuza kwa bei za moven pick.
 
Wengi wanatumia usafiri wa magari maalum yenye freezer. Chek na wauza samaki.
 
Ndugu wanajamvi kamailivyo ada hapa JF hakuna kitu kinachoshindikana ikiwa utataka ushauri

Kwaufupi ni kwamba kuna mtu ameniambia ya kuwa kama nikitafuta vijana kama 2 nikawafungulia biashara ya kuuza samaki wa baharini basi kwa siku naweza nikawa naingiza hela nzuri.

Nikamuuliza kuusu mtaji akanambia kila mmoja mpatie 350k yaani nifungue vibanda viwili kwa wakati mmoja lakini maeneo tofauti hapa jijini Dar.

Kulingana na jinsi jamaa alivyoniambia kuwa watu wanapiga hela nzuri tu nikawa nimeshawishika kufanya hii biashara lakini nikaona nije niombe ushauri kwa wadau hapa ambao mtakuwa na ujuzi wa biashara hii.

Kwaiyo kwa yeyote yule ambae anaijua biashara hii kiundani kuusu mtaji, maeneo mazuri ya kufanyia biashara hii, Changamoto zake au faida zake anakaribishwa kutoa mchango wake.

Natanguliza shukrani!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtaji wa 350,000 ni mkubwa sana kwa biashara ya samaki wa kukaanga inategemea na eneo 200,000 inatosha kwa kuanzia

1.Jitahidi uanze biashara kipindi ambacho samaki wanapatikana kwa wingi

2.Kuna option ya kuwakaangia kule ferry unakuja kuwakaanga mwenyewe(kuna wateja watanunua samaki kama wakiowaona wabichi) Pia kuwa mwangalifu na mafuta yanayotumika kukaangia samaki

3.Nunua samaki ambao wanapendwa na watu wengi (dagaa mchele,vibua,pweza,ngisi,jodari,changu) na wale wa bei nafuu
 
Mtaji wa 350,000 ni mkubwa sana kwa biashara ya samaki wa kukaanga inategemea na eneo 200,000 inatosha kwa kuanzia

1.Jitahidi uanze biashara kipindi ambacho samaki wanapatikana kwa wingi

2.Kuna option ya kuwakaangia kule ferry unakuja kuwakaanga mwenyewe(kuna wateja watanunua samaki kama wakiowaona wabichi) Pia kuwa mwangalifu na mafuta yanayotumika kukaangia samaki

3.Nunua samaki ambao wanapendwa na watu wengi (dagaa mchele,vibua,pweza,ngisi,jodari,changu) na wale wa bei nafuu
Nashukuru sana kwa Ushauri nimetenga hiyo kwaajili ya ujenzi wa kibanda na meza ya kuuzia bado

Lakini Hamna shida ikibaki kiasi itakuwa kama hela ya emergency l

Alafu Mkuu Vitu gani vingine vya msingi vya kuzingatia kabla sijaanza ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashukuru sana kwa Ushauri nimetenga hiyo kwaajili ya ujenzi wa kibanda na meza ya kuuzia bado

Lakini Hamna shida ikibaki kiasi itakuwa kama hela ya emergency l

Alafu Mkuu Vitu gani vingine vya msingi vya kuzingatia kabla sijaanza ?

Sent using Jamii Forums mobile app

Kama utakaanga mwenyewe hakikisha una uhakika wa mafuta ya kukaangia na kuni/gas

Uwe na vyanzo tofauti vya kununua samaki

USAFI wa eneo USAFI wa samaki USAFI wa muuzaji

Customer care

Affodable price kulingana na eneo ulilopo
 
Kama utakaanga mwenyewe hakikisha una uhakika wa mafuta ya kukaangia na kuni/gas

Uwe na vyanzo tofauti vya kununua samaki

USAFI wa eneo USAFI wa samaki USAFI wa muuzaji

Customer care

Affodable price kulingana na eneo ulilopo
Shukran Mkuu kwa ushauri wako nadhani hayo nitayasimamia kwa vijana wayatekeleze

Nimebaki na challenge moja ya kupambana na wakazi wa uswahilini?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi niliacha kazi kwaka juzi...nakutumbukia kwenye biashara hii ya shombo..
 

Attachments

  • IMG-20190228-WA0004.jpeg
    IMG-20190228-WA0004.jpeg
    176.1 KB · Views: 101
  • IMG-20181208-WA0003.jpg
    IMG-20181208-WA0003.jpg
    51.7 KB · Views: 56
  • IMG-20181216-WA0008.jpg
    IMG-20181216-WA0008.jpg
    70.4 KB · Views: 58
  • IMG_20190302_114628.jpg
    IMG_20190302_114628.jpg
    154.6 KB · Views: 58
Cha kwanza uwe na freezers mbili..moja ya mabarafu pekeake moja ya samaki na cool box moja..yaweza kuwa hats friji mbovu.
Chapili uwe na connection za vyanzo vya uhakika vya samaki..
Cha tatu wajue samaki kiundani hii itakusaidia kujua ubora wake.
Cha nne.. Target soko lako na utafute mtindo ambao utawatengeneza samaki wako ili akitokea pirates yoyote basis ashindwe kukupokonya soko lako
 
Cha kwanza uwe na freezers mbili..moja ya mabarafu pekeake moja ya samaki na cool box moja..yaweza kuwa hats friji mbovu.
Chapili uwe na connection za vyanzo vya uhakika vya samaki..
Cha tatu wajue samaki kiundani hii itakusaidia kujua ubora wake.
Cha nne.. Target soko lako na utafute mtindo ambao utawatengeneza samaki wako ili akitokea pirates yoyote basis ashindwe kukupokonya soko lako
Shukrani lakini mm nilikuwa interested na Samaki wa Baharini kwanza naona ndio wanakimbiza sana kwa sasa kama Kolekole ,Changu, Saladini ,Dagaa mchele na Mapande ya Sangara naona ndio wana kimbiza sana sokoni hao Perege bado cjaanza kuuza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom