Old guard
JF-Expert Member
- Dec 15, 2020
- 1,479
- 2,662
Niaj wadau,
Najua saivi life liko mbaya sana pesa zimekuwa adimu michongo imekuwa adimu sana kuna wazo nilipata juzi nilipewa na rafiki angu ambae yupo Lindi akanipa mchongo wa kwenda lindi kununua gunia la nazi na kila gunia moja zinaingia nazi 200 na kwa bei ya kule aliyoniambia kuwa nazi moja unauziwa kwa 350 Tsh kwahikyo tathmin kwa gunia moja si chini ya 200,000 Tsh.
Mimi ni mkazi wa Dar es Salaam, Kkigamboni ambapo baada ya kuchukua mzigo wako unapekeleka kwa madalali soko la Ilala then mnapiga tathmin kwa bei moja ya nazi kwa dsm ni 600 mpk 1000, sasa nilikuwa naomba kuuliza kwa wajuzi wa mambo wazoefu hii imekaaje?
Najua saivi life liko mbaya sana pesa zimekuwa adimu michongo imekuwa adimu sana kuna wazo nilipata juzi nilipewa na rafiki angu ambae yupo Lindi akanipa mchongo wa kwenda lindi kununua gunia la nazi na kila gunia moja zinaingia nazi 200 na kwa bei ya kule aliyoniambia kuwa nazi moja unauziwa kwa 350 Tsh kwahikyo tathmin kwa gunia moja si chini ya 200,000 Tsh.
Mimi ni mkazi wa Dar es Salaam, Kkigamboni ambapo baada ya kuchukua mzigo wako unapekeleka kwa madalali soko la Ilala then mnapiga tathmin kwa bei moja ya nazi kwa dsm ni 600 mpk 1000, sasa nilikuwa naomba kuuliza kwa wajuzi wa mambo wazoefu hii imekaaje?