Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,117
- 49,469
Mwenge karibu na kilipokuwa kituo cha zamani...
Ukimaliza tu stendi ya zamani kama unaelekea Nakiete kuna jamaa wanauza bidhaa za Cocacola kwa jumla...
Nadhani pia kiwanda cha Cocacola huwa kinauzia watu bidhaa zake kwa wale mnaotaka kwa jumla kama wewe na hukodisha/hutoa viti, meza na miamvuli...
Ahsante ninatakiwa kwenda kiwandani moja kwa moja ama kuna hatua za kufuata?