Kus Kas Pole
Member
- Nov 29, 2016
- 35
- 47
Changamoto haswa ni pads kama unatumia pad fake mkuu itakuwa ni hasara kwako huwa zinaharibika haraka sana. Pia tumia game zile kubwa kuliko vile vidogo zile kubwa zinahimili shughuli ya kutumika siku nzima.Changamoto kama zipi?
Faida na hasara zikoje?
Eneo lazima liwe la watu wengi sana haswa katika maeneo ya uswazi na familia za maisha ya kati ila ushuani hapafai.
ukiwa na gemu nyingi ndo unavyopata faida kubwa zaidi, pia ukiweza hapo hapo unachanganya na biashara nyingine ya kuuza games au pads haswa haswa vitu vinavyo husu games kwa ujumla.