Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 6,491
- 10,471
Wadau wa sheria naombeni ushauri wenu
kuna mjomba wangu mwaka jana mwishoni aligongwa na basi la kampuni fulani akafariki papo hapo
dereva akapandishwa kizimbani na kupigwa faini ya sh 50.000
swali langu je huyu marehemu aliyegongwa hana stahiki yeyote inayotakiwa kulipwa na bima kwa wategemezi wa marehemu?
kuna mjomba wangu mwaka jana mwishoni aligongwa na basi la kampuni fulani akafariki papo hapo
dereva akapandishwa kizimbani na kupigwa faini ya sh 50.000
swali langu je huyu marehemu aliyegongwa hana stahiki yeyote inayotakiwa kulipwa na bima kwa wategemezi wa marehemu?