Ushauri kubadili injini toka 2NZ-FE kwenda 1NZ-FE Toyota Belta

salari

JF-Expert Member
Jan 22, 2013
1,920
3,413
Habari wanajamiiforums!

Naomba ushauri nina gari aina ya Toyota Belta ambayo ina engine ya 2NZ-FE na ina CC 1297. Gari hii nimetembelea kilometa za kutosha na sasa naona imechoka sana ila bodi lake lipo poa ile mbaya. Nimefikiria nibadili injini yake niweke injini nyingine used ambayo ni 1NZ-FE ambayo ina cc 1497 ili kuipa gari nguvu Zaidi maana shughuli zangu zinatumia sana gari.

Je hili linawezekana?
Wapi Dar naweza pata injini nzuri na ya uhakika na angalau yenye waranti ya miezi kadhaa
Je inaweza gharimu TZS ngapi kwa kazi yote hii
Shukrani kwa wote watakaonisaidia kwa ushauri
 
Habari wanajamiiforums!

Naomba ushauri nina gari aina ya Toyota Belta ambayo ina engine ya 2NZ-FE na ina CC 1297. Gari hii nimetembelea kilometa za kutosha na sasa naona imechoka sana ila bodi lake lipo poa ile mbaya. Nimefikiria nibadili injini yake niweke injini nyingine used ambayo ni 1NZ-FE ambayo ina cc 1497 ili kuipa gari nguvu Zaidi maana shughuli zangu zinatumia sana gari.

Je hili linawezekana?
Wapi Dar naweza pata injini nzuri na ya uhakika na angalau yenye waranti ya miezi kadhaa
Je inaweza gharimu TZS ngapi kwa kazi yote hii
Shukrani kwa wote watakaonisaidia kwa ushauri
Mafundi wetu humu vipi mbona kimya?!tumsaidie huyu jamaa yetu
 
Hilo linawezekana mkuu kwani space ya kuweka engine ni sawa. Na ya 2nz. Ila itakubidi ununue engine na gear box yake kwa maana mfumo wa 1NZ uko mara tatu tofauti kwa ndani ila kwa nje uko sawa.
 
Hilo linawezekana mkuu kwani space ya kuweka engine ni sawa. Na ya 2nz. Ila itakubidi ununue engine na gear box yake kwa maana mfumo wa 1NZ uko mara tatu tofauti kwa ndani ila kwa nje uko sawa.
Shukrani sana mkuu!
 
Habari wanajamiiforums!

Naomba ushauri nina gari aina ya Toyota Belta ambayo ina engine ya 2NZ-FE na ina CC 1297. Gari hii nimetembelea kilometa za kutosha na sasa naona imechoka sana ila bodi lake lipo poa ile mbaya. Nimefikiria nibadili injini yake niweke injini nyingine used ambayo ni 1NZ-FE ambayo ina cc 1497 ili kuipa gari nguvu Zaidi maana shughuli zangu zinatumia sana gari.

Je hili linawezekana?
Wapi Dar naweza pata injini nzuri na ya uhakika na angalau yenye waranti ya miezi kadhaa
Je inaweza gharimu TZS ngapi kwa kazi yote hii
Shukrani kwa wote watakaonisaidia kwa ushauri
mkuu hapo hakuna ushauri zaidi coz ukichukua hiyo engine unaifunga tuu coz zinafanana na hata gearbox ndio zilezile mm huwa nazitofautisha kwenye control box tuu kuna ya ngazi 2 ngazi 3 na ngazi 4 ila sensor za kwenye engine ni zilezile
 
Lege zinatofauti kwenye gear box ,kuna zenye overdrive na ambazo hazina overdrive. Pia kuna zinazotumia CVT
 
Mkuu, nimenunua belts yapata miezi 6 sasa. Nilikuwa na wasiwasi coz sio gari zilizozoeleka lakini pia wataalamu wanasema hazipendi mikiki mikiki... Inaonekana umeitumia muda mrefu hiyo gari.. If you were to recommend it, what would you say about this car?
 
Lege zinatofauti kwenye gear box ,kuna zenye overdrive na ambazo hazina overdrive. Pia kuna zinazotumia CVT
ni kweli kabisa mkuu sasa yeye hapo anabadili enjini na sio gearbox mkuu.so akinunua engine na kuifunga tuu kutakuwa na tatizo gani? coz engine sizinafanana
 
ni kweli kabisa mkuu sasa yeye hapo anabadili enjini na sio gearbox mkuu.so akinunua engine na kuifunga tuu kutakuwa na tatizo gani? coz engine sizinafanana
Engine zinafanana kimuonekano ila gearbox tofauti soo kama akifunga engine ya 1nz lazma aweke na gearbox ya 1nz
 
Habari wanajamiiforums!

Naomba ushauri nina gari aina ya Toyota Belta ambayo ina engine ya 2NZ-FE na ina CC 1297. Gari hii nimetembelea kilometa za kutosha na sasa naona imechoka sana ila bodi lake lipo poa ile mbaya. Nimefikiria nibadili injini yake niweke injini nyingine used ambayo ni 1NZ-FE ambayo ina cc 1497 ili kuipa gari nguvu Zaidi maana shughuli zangu zinatumia sana gari.

Je hili linawezekana?
Wapi Dar naweza pata injini nzuri na ya uhakika na angalau yenye waranti ya miezi kadhaa
Je inaweza gharimu TZS ngapi kwa kazi yote hii
Shukrani kwa wote watakaonisaidia kwa ushauri
Inawezekana mkuu ila itakubidi ubadili na gearbox, contol box, na kuna baadhi ya mounting pia zibadilike.
 
Engine zinafanana kimuonekano ila gearbox tofauti soo kama akifunga engine ya 1nz lazma aweke na gearbox ya 1nz
hapo mkuu bado sijakusoma kama engine zinafanana kimuonekano gearbox abadili ya nini?? huo utofauti unao usema ww usije ukawa ni kutokana na body tofauti. unataka unambie sehem ya kufungia gearbox ni tofauti?? kama engine ni sawa na sensor ni sawa kila kitu ni sawa haina haja ya kubadili gearbox.


nitakumpa mm mfano kuna toyota rush moja ilibadilishwa engine 5SZ VE na kuwekwa engine ya KE VE sijui ni ya body gani mafundi walihangaika nayo kuiwasha sana sababu control ya 5sz ve ya rush ina immobilize na iliyokuja na engine imepasuka pasuka.

mm nilichukua control ya passo ya piston 4 kuiweka pale haikuwasha gari lkn kila kitu kila sensor ya kwenye passo ni the same na ya rush mpaka control ya transmission pia ni sawa sawa. nikaja kufungua kwenye pully ya mbele na kubadilisha jino la sensor ile plate nikatoa ya k3 na kuweka ya k3 ya passo gari ikawaka nusu funguo.
 
kwani mkuu control box hapo itabadilishwa kwa sababu ipi??
Contol box ambayo anatumia sasa ni ya 2NZ sasa akibadili engine akaweka 1NZ hatoweza kutumia control ileile coz ile ni kwa ajili ya 2NZ itamlazimu aweke ya 1nz asipobadili itamsumbua kwenye issue za umeme.
 
kwani mkuu control box hapo itabadilishwa kwa sababu ipi??
mkuu control box zina number zinategemea na wiring yake unaweza kuwa na engine ya 1Nz ikatokea imekufa control box ukaenda dukan kununua control ya 1Nz ile ile bt number tofauti basi kimoja kati ya haya kitatokea inaweza isiwashe engine kabisa au ikawasha lakini gear zikawa haziingii au ikawasha taa ya check engine.
 
hapo mkuu bado sijakusoma kama engine zinafanana kimuonekano gearbox abadili ya nini?? huo utofauti unao usema ww usije ukawa ni kutokana na body tofauti. unataka unambie sehem ya kufungia gearbox ni tofauti?? kama engine ni sawa na sensor ni sawa kila kitu ni sawa haina haja ya kubadili gearbox.


nitakumpa mm mfano kuna toyota rush moja ilibadilishwa engine 5SZ VE na kuwekwa engine ya KE VE sijui ni ya body gani mafundi walihangaika nayo kuiwasha sana sababu control ya 5sz ve ya rush ina immobilize na iliyokuja na engine imepasuka pasuka.

mm nilichukua control ya passo ya piston 4 kuiweka pale haikuwasha gari lkn kila kitu kila sensor ya kwenye passo ni the same na ya rush mpaka control ya transmission pia ni sawa sawa. nikaja kufungua kwenye pully ya mbele na kubadilisha jino la sensor ile plate nikatoa ya k3 na kuweka ya k3 ya passo gari ikawaka nusu funguo.
Mkuu mleta mada ana engine ya 2nz kwenye gari yake anataka atoe aweke 1nz jee ataweza kutumia engine 1nz gearbox 2nz?
 
Mkuu, nimenunua belts yapata miezi 6 sasa. Nilikuwa na wasiwasi coz sio gari zilizozoeleka lakini pia wataalamu wanasema hazipendi mikiki mikiki... Inaonekana umeitumia muda mrefu hiyo gari.. If you were to recommend it, what would you say about this car?
Mkuu ni kweli Toyota Belta haipendi mikikimikiki kwa kiasi fulani coz iko chini, na zina engine ya cc ndogo, vilevile body parts zake zina uimara wa kawaida. cha kuzingatia fanya service mara inapotakiwa ifanyike, tumia right oils, ikilets tatizo la umeme hakikisha linatatuliwa haraka sana mf taa ya ABS kuwaka, sometime tatizo hili likikaa muda mrefu laweza pelekea shida kwenye gear box i.e. gari ikawa inashindwa badili gear. Otherwise kama umenunua ambayo iko kwenye hali nzuri ni gari zuri tu maana ni jamii ya vitz, ist n.k. hata spare zinaingiliana!
 
Back
Top Bottom