Mimi nachanganyikiwa mtu anaposemanikisoma hzi thread za korosha nazidi kuchanganyikiwa
tatizo moja la raisi wetu wanaomshauri wanamshauri kisiasa hilo tu na si vingonevyo
Kwa mfano, hitaji (demand) ya korosho kwa walaji ni tani 100 na uzalishaji ni tani 200 mwaka huu lakini mwakani hitaji (demand) ya korosho kwa walaji ni tani 150 na uzalishaji ukaongezeka ukawa tani 400, ni lazima bei ya korosho (malighafi) ishuke.
anaelewa, unampigia mbw. Gitaa.WanaJF,
Leo tumesikia/tumeona hotuba ya Rais Magufuli juu ya korosho. Serikali itanunua korosho, takribani tani 210,000, iwapo wafanyabiashara hawatazinunua kwa bei ya TZS 3,000/kilo itakapofika Jumatatu saa kumi jioni. Rais ameandaa jeshi kusaidia zoezi hili.
Pia Rais Magufuli amemfuta kazi Waziri wa Kilimo Charles Tizeba kutokana na sakata hili.
Hatari ya kuingiza siasa kwenye uchumi ni kupata mafanikio ya muda mfupi na hasara kubwa sana ya muda mrefu - short termism.
Tani 210,000 kwa bei ya TZS 3,000 kwa kilo ni sawa na Shilingi bilioni 630. Karibia nusu ya bajeti ya wizara ya elimu kwa mwaka. Ukizingatia wizara zinapata asilimia 50% ya bajeti basi hii ni sawa na bajeti halisi ya wizara ya elimu.
Swali la kwanza, Je, serikali ikinunua hizi korosho kwa kodi za wananchi itamuuzia nani na kwa bei ipi? Kununua kwa wakulima kwa bei ya TZS 3,000 kwa kilo ina maana inapaswa kuuza kwa bei zaidi ya hiyo kwa wafanyabiashara wa nje, Je, inawezekana?
Kwanza kabisa, korosho ya Tanzania hainunuliwi na mlaji wa mwisho (consumer). Korosho ya Tanzania ni malighafi (raw product) inayonunuliwa na makampuni ya korosho kutengeneza final product kwa mlaji.
Wateja (makampuni) ya korosho zetu ni India na Vietnam. Makampuni haya yananunua korosho (malighafi) sehemu tofauti duniani. Formula ni rahisi kwao, wanahitaji kununua kwa bei rahisi ili kupata faida kubwa. Huu ni ubepari hauna kuoneana huruma.
Msimu huu wa korosho, uzalishaji upo juu kutokana na nchi nyingine kuzalisha kwa wingi. Hii imepelekea bei kushuka.
Kwa mfano, hitaji (demand) ya korosho kwa walaji ni tani 100 na uzalishaji ni tani 200 mwaka huu lakini mwakani hitaji (demand) ya korosho kwa walaji ni tani 150 na uzalishaji ukaongezeka ukawa tani 400, ni lazima bei ya korosho (malighafi) ishuke.
Hii haihitaji nguvu ya jeshi, ni kanuni za uchumi.
Serikali leo hii ikishindwa kuuza korosho kwa bei ya faida, itaweka kwenye ghala isubiri msimu ujao. Hii itakosesha Tanzania fedha za kigeni kwa msimu huu na pia ni pata potea (speculating) ya pesa za walipa kodi. Hususani thamani ya pesa mwaka huu si sawa na mwakani.
Swali la pili, iwapo uzalishaji ukaongezeka zaidi ya uhitaji msimu ujao, Serikali itafanya nini? Kwa sababu wakulima watakuwa wana korosho kwenye maghala na serikali itakua na korosho kwenye maghala. Moja kwa moja bei itazidi kushuka na wakulima watategemea Serikali inunue kwa bei ileile. Hasara zaidi kiuchumi.
Swali la mwisho, wakulima wa mazao mengine kesho na kesho kutwa watataka Serikali inunue kutoka kwao. Serikali itaweza?
Huu ni mtego. Hili ni suala la uchumi si siasa. Wanasiasa wamemtega na ametegeka.
Njia bora ya kusaidia mkulima ni kumpunguzia gharama za kilimo kwa kumpatia ruzuku au kumpunguzia bei ya inputs, si kununua mazao yake.
Muda ni hakimu.
Wanunuzii, wakanunua kwa Tshs 2700 na wewe unawafidia kwa tshs 300, kutoka kwenye mfuko wa korosho, ambao umemezwa na chatou piga mwenyewe hesabu uone nani ana akili.introvert ,
..kwenye nchi za wenzetu bei inaposhuka na serekali huwa inawasaidia wakulima namna gani?
..je, hutumia utaratibu kama huu anaotumia JPM au huchukua hatua tofauti?
..Zaidi, wakulima wa mazao mengine kama kahawa, pamba, mahindi, etc na wao watasaidiwa ikiwa bei zitaporomoka?
WanaJF,
Leo tumesikia/tumeona hotuba ya Rais Magufuli juu ya korosho. Serikali itanunua korosho, takribani tani 210,000, iwapo wafanyabiashara hawatazinunua kwa bei ya TZS 3,000/kilo itakapofika Jumatatu saa kumi jioni. Rais ameandaa jeshi kusaidia zoezi hili.
Pia Rais Magufuli amemfuta kazi Waziri wa Kilimo Charles Tizeba kutokana na sakata hili.
Hatari ya kuingiza siasa kwenye uchumi ni kupata mafanikio ya muda mfupi na hasara kubwa sana ya muda mrefu - short termism.
Tani 210,000 kwa bei ya TZS 3,000 kwa kilo ni sawa na Shilingi bilioni 630. Karibia nusu ya bajeti ya wizara ya elimu kwa mwaka. Ukizingatia wizara zinapata asilimia 50% ya bajeti basi hii ni sawa na bajeti halisi ya wizara ya elimu.
Swali la kwanza, Je, serikali ikinunua hizi korosho kwa kodi za wananchi itamuuzia nani na kwa bei ipi? Kununua kwa wakulima kwa bei ya TZS 3,000 kwa kilo ina maana inapaswa kuuza kwa bei zaidi ya hiyo kwa wafanyabiashara wa nje, Je, inawezekana?
Kwanza kabisa, korosho ya Tanzania hainunuliwi na mlaji wa mwisho (consumer). Korosho ya Tanzania ni malighafi (raw product) inayonunuliwa na makampuni ya korosho kutengeneza final product kwa mlaji.
Wateja (makampuni) ya korosho zetu ni India na Vietnam. Makampuni haya yananunua korosho (malighafi) sehemu tofauti duniani. Formula ni rahisi kwao, wanahitaji kununua kwa bei rahisi ili kupata faida kubwa. Huu ni ubepari hauna kuoneana huruma.
Msimu huu wa korosho, uzalishaji upo juu kutokana na nchi nyingine kuzalisha kwa wingi. Hii imepelekea bei kushuka.
Kwa mfano, hitaji (demand) ya korosho kwa walaji ni tani 100 na uzalishaji ni tani 200 mwaka huu lakini mwakani hitaji (demand) ya korosho kwa walaji ni tani 150 na uzalishaji ukaongezeka ukawa tani 400, ni lazima bei ya korosho (malighafi) ishuke.
Hii haihitaji nguvu ya jeshi, ni kanuni za uchumi.
Serikali leo hii ikishindwa kuuza korosho kwa bei ya faida, itaweka kwenye ghala isubiri msimu ujao. Hii itakosesha Tanzania fedha za kigeni kwa msimu huu na pia ni pata potea (speculating) ya pesa za walipa kodi. Hususani thamani ya pesa mwaka huu si sawa na mwakani.
Swali la pili, iwapo uzalishaji ukaongezeka zaidi ya uhitaji msimu ujao, Serikali itafanya nini? Kwa sababu wakulima watakuwa wana korosho kwenye maghala na serikali itakua na korosho kwenye maghala. Moja kwa moja bei itazidi kushuka na wakulima watategemea Serikali inunue kwa bei ileile. Hasara zaidi kiuchumi.
Swali la mwisho, wakulima wa mazao mengine kesho na kesho kutwa watataka Serikali inunue kutoka kwao. Serikali itaweza?
Huu ni mtego. Hili ni suala la uchumi si siasa. Wanasiasa wamemtega na ametegeka.
Njia bora ya kusaidia mkulima ni kumpunguzia gharama za kilimo kwa kumpatia ruzuku au kumpunguzia bei ya inputs, si kununua mazao yake.
Muda ni hakimu.
View attachment 929380
Nakumbuka wakati nalima mahindi mkoani Rukwa miaka hiyo, kuna jamaa walikuwa wanatubania sana katika bei. Kuna bwana mmoja akaamua kununua mahindi yetu kwa bei nzuri akahifadhi hadi bei ilipokuwa nzuri. Wale waliokataa kununua awali walipokuja kutulazimisha tulime na kuuza kwao, tuliwaeleza sisi tunataka kumuuzia yule yule huwa ananunua kwa bei nzuri. Jamaa wakaanza wao wenyewe pia kulima ili wakamuuzie yule bwana na yule bwana akagoma kununua kwa wale wauzaji wapya. Historia hii inanikumbusha yanayojiri sasa. Licha ya kwamba serikali imeamua kununua sasa(kama wanunuzi waliotarajiwa hawataonesha nia), ni imani yetu kuwa misimu ijayo masoko ya dunia yatakuwa katika hali nzuri. Zipo nchi nyingi duniani zenye uhitaji wa korosho. Kuuza si Tanzania tu, bali hata nje ya Tanzania. Zingatia kwamba, 'serikali ina mkono mrefu'. Inaweza kutafuta nchi yoyote duniani yenye uhitaji na kuingia makubaliano rasmi na muuzaji mkuu akawa serikali. Ananunua korosho 3000 anauza 5000. Hapo sasa ndio wakulima tutaongezeka ili tuuze nje...Tuunge mkono hatua ya kuwanusuru wakulima wetu, tusibeze hatua hiyo ya serikali yenye tija kwa wanyonye washindao mashambani. Nimetafakari sana baada ya kuona wanaobeza hatua hiyo ni watu wa mijini (wanunuzi wa korosho za kwenye pakiti kwa 'matumizi ya nyumbani na mahotelini').
Dah umekonga roho yangu kwa ufafanuzi maridadi; natamani tungekuwa na watu kama wewe kwenye NATIONAL ECONOMIC COUNCIL badala ya Kamati za ulinzi na usalama utafikiri nchi iko vitani!!!WanaJF,
Leo tumesikia/tumeona hotuba ya Rais Magufuli juu ya korosho. Serikali itanunua korosho, takribani tani 210,000, iwapo wafanyabiashara hawatazinunua kwa bei ya TZS 3,000/kilo itakapofika Jumatatu saa kumi jioni. Rais ameandaa jeshi kusaidia zoezi hili.
Pia Rais Magufuli amemfuta kazi Waziri wa Kilimo Charles Tizeba kutokana na sakata hili.
Hatari ya kuingiza siasa kwenye uchumi ni kupata mafanikio ya muda mfupi na hasara kubwa sana ya muda mrefu - short termism.
Tani 210,000 kwa bei ya TZS 3,000 kwa kilo ni sawa na Shilingi bilioni 630. Karibia nusu ya bajeti ya wizara ya elimu kwa mwaka. Ukizingatia wizara zinapata asilimia 50% ya bajeti basi hii ni sawa na bajeti halisi ya wizara ya elimu.
Swali la kwanza, Je, serikali ikinunua hizi korosho kwa kodi za wananchi itamuuzia nani na kwa bei ipi? Kununua kwa wakulima kwa bei ya TZS 3,000 kwa kilo ina maana inapaswa kuuza kwa bei zaidi ya hiyo kwa wafanyabiashara wa nje, Je, inawezekana?
Kwanza kabisa, korosho ya Tanzania hainunuliwi na mlaji wa mwisho (consumer). Korosho ya Tanzania ni malighafi (raw product) inayonunuliwa na makampuni ya korosho kutengeneza final product kwa mlaji.
Wateja (makampuni) ya korosho zetu ni India na Vietnam. Makampuni haya yananunua korosho (malighafi) sehemu tofauti duniani. Formula ni rahisi kwao, wanahitaji kununua kwa bei rahisi ili kupata faida kubwa. Huu ni ubepari hauna kuoneana huruma.
Msimu huu wa korosho, uzalishaji upo juu kutokana na nchi nyingine kuzalisha kwa wingi. Hii imepelekea bei kushuka.
Kwa mfano, hitaji (demand) ya korosho kwa walaji ni tani 100 na uzalishaji ni tani 200 mwaka huu lakini mwakani hitaji (demand) ya korosho kwa walaji ni tani 150 na uzalishaji ukaongezeka ukawa tani 400, ni lazima bei ya korosho (malighafi) ishuke.
Hii haihitaji nguvu ya jeshi, ni kanuni za uchumi.
Serikali leo hii ikishindwa kuuza korosho kwa bei ya faida, itaweka kwenye ghala isubiri msimu ujao. Hii itakosesha Tanzania fedha za kigeni kwa msimu huu na pia ni pata potea (speculating) ya pesa za walipa kodi. Hususani thamani ya pesa mwaka huu si sawa na mwakani.
Swali la pili, iwapo uzalishaji ukaongezeka zaidi ya uhitaji msimu ujao, Serikali itafanya nini? Kwa sababu wakulima watakuwa wana korosho kwenye maghala na serikali itakua na korosho kwenye maghala. Moja kwa moja bei itazidi kushuka na wakulima watategemea Serikali inunue kwa bei ileile. Hasara zaidi kiuchumi.
Swali la mwisho, wakulima wa mazao mengine kesho na kesho kutwa watataka Serikali inunue kutoka kwao. Serikali itaweza?
Huu ni mtego. Hili ni suala la uchumi si siasa. Wanasiasa wamemtega na ametegeka.
Njia bora ya kusaidia mkulima ni kumpunguzia gharama za kilimo kwa kumpatia ruzuku au kumpunguzia bei ya inputs, si kununua mazao yake.
Muda ni hakimu.
Yote unayoongea yanaweza yakawa sawa lakini kama nchi hatuwezi kuwa bulldozed na wafanyabiashara.Kuna vitu kaka vinahitaji maamuzi magumu.
Hapa issue nikuonyesha msimamo wote kwa wafanyabishara, kumnusuru mkulima then mambo mengine tuta angalia ili kuweza ku recover gharama na kutengeneza margin.
I thought you would have raised the issue of budget allocation???
Na bado safari ni ndefu pumzi imeshakataRais kajichokea zake anaona lolote lile sawa tu.
introvert ,
..kwenye nchi za wenzetu bei inaposhuka na serekali huwa inawasaidia wakulima namna gani?
..je, hutumia utaratibu kama huu anaotumia JPM au huchukua hatua tofauti?
..Zaidi, wakulima wa mazao mengine kama kahawa, pamba, mahindi, etc na wao watasaidiwa ikiwa bei zitaporomoka?
uzalishaji umezidi mahitaji misimu yote miwili, kwa hiyo bei ilikuwa ndogo misimu yote miwili, sasa tofauti ya hiyo misimu miwili ni nini?
unatoa scenario ambayo uzalishaji ni double the levels of mahitaji miaka yote miwili, halafu unasema ni mfano. Don't be silly
Ananunua korosho 3000 anauza 5000.