Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
mkuu safi sana, mimi huwa nayapanda kienyeji sehemu yoyote ambayo ina nafasi shambani huwa nayachanganya na mazao mengine kama mahindi, maharage, matikiti etc kwahiyo sielewi nalima hekari ngapi za mananasi na matikiti lakini mwishoni huwa naingiza fedha nzuri sana
Mimi mkulima pia. Katika hiyo 14,000 bado kunabaki nafasi na nimepanda Kunde kwa ajili ya Nitrogenization ya udongo.