COARTEM
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 3,598
- 3,644
Shime Wakristo na Waislamu na Wapagani kila mtu anaye MUNGU anayemuamini. Kuelekea Uchaguzi mkuu 2015 nashauri wazazi (Baba wa familia) watumie BIBLIA, QURAN au Mizimu (kwa wapagani) kuwaapisha watoto au wategemezi wenye umri wa kupiga kura kutoipigia kura CCM.
Ndani ya kiapo hicho itamkwe kuwa yeyote atakaye ipigia kura CCM alaanike.
Bila kufanya hivyo haya majizi CCM hayatoki Madarakani.....yatahonga sana watu.
Niushauri tuu wandugu, kama nimekuudhi kumradhi.
Ndani ya kiapo hicho itamkwe kuwa yeyote atakaye ipigia kura CCM alaanike.
Bila kufanya hivyo haya majizi CCM hayatoki Madarakani.....yatahonga sana watu.
Niushauri tuu wandugu, kama nimekuudhi kumradhi.