Ushauri Kati ya Toyota Raum na Toyota Ipsum nichukue ipi?

IZENGOB

JF-Expert Member
Jun 28, 2014
323
316
Wanajamvi ninakapesa kangu ka madafu M 11 nahitaji ushauri kati ya gari hizo mbili ipi nzuri kwani itakuwa na safari mara mbili kwa mwaka kwenda mwanza je ipi kati ya hizo itanifaa?Ulaji wa mafuta, na uimara ipi nzuri?
 
kama utakua na safari nunu Toyota succeed hii nigari nzuri sana sipea bei poa mafuta kidogo panga safari unavyo jua
 
ipsum nzuri na nafasi kubwa, ulaji wake wa mafuta ni mkubwa zaidi cc2350 nadhani. hata uimara nadhani ipsum ni imara kidogo.
 
Nina mashaka kama unaweza kupata IPSUM kwa bei hiyo. Chukua RAUM hutapata stress, ni gari ndogo yenye space ya kutosha kwa abiria na mizigo, inakula mafuta kidogo (cc 1450-1500) 13km/Lita. Kwa safari ndefu huna wasiwasi inaenda bila tatizo lolote
 
Nina mashaka kama unaweza kupata IPSUM kwa bei hiyo. Chukua RAUM hutapata stress, ni gari ndogo yenye space ya kutosha kwa abiria na mizigo, inakula mafuta kidogo (cc 1450-1500) 13km/Lita. Kwa safari ndefu huna wasiwasi inaenda bila tatizo lolote
Asnten mkuu,ili kupata IPSUM yard niongeze ngapi?
 
Nina mashaka kama unaweza kupata IPSUM kwa bei hiyo. Chukua RAUM hutapata stress, ni gari ndogo yenye space ya kutosha kwa abiria na mizigo, inakula mafuta kidogo (cc 1450-1500) 13km/Lita. Kwa safari ndefu huna wasiwasi inaenda bila tatizo lolote
Anapata
 
Si unataka safari ndefu yenye uhakika chukua Brevis Cc 3000 mkuu Mwanza unsgusa tuu yaani king of the road
Mkuu hata Mimi BREVIS naipenda sana,ila jamaa haitamfaa kwa town,yeye anasema anaruti mbili tu,so haitamfaa bora achukue RAUM
 
Wanajamvi ninakapesa kangu ka madafu M 11 nahitaji ushauri kati ya gari hizo mbili ipi nzuri kwani itakuwa na safari mara mbili kwa mwaka kwenda mwanza je ipi kati ya hizo itanifaa?Ulaji wa mafuta, na uimara ipi nzuri?
Raum model 2008 ipo comfortable sana,body design,ndani na nje ,fuel consumption ipo poa sana hili toleo ingawa Raum ni Raum lakini kwa toleo hili naona ipo tofauti kidogo
 
Back
Top Bottom