Ushauri kati ya Toyota Ipsum, Wish na Isis

Mulimila dole

JF-Expert Member
Jul 15, 2016
226
266
Wakuu
Nina ndoto ya kumiliki gari yangu kabla ya tarehe 1 AUGUST haijalishi kama nitaagiza au kumvua mtu yote sawa Bajeti yangu ni Milioni 8. Naomba ushauri kwani nimevutiwa na Toyota IPSUM, Toyota Wish na Toyota ISIS. Gari hizi nimezipenda kwa muonekano na nafasi yake ndani ya gari lakini sijui chochote kinachohusiana na matatizo hasa ya kiufundi na upatikanaji wa spare parts zake.
Vipi ulaji wa mafuta kwa kulinganisha kila moja maana mimi ni wale wale wabeba vidumu kwenye magari.

Natanguliza shukurani

nawasilisha
 
Wish 1790cc, ipsum 2300cc. Kazi kwako,itajua wese ipi ina nafuu
 
Wakuu
Nina ndoto ya kumiliki gari yangu kabla ya tarehe 1 AUGUST haijalishi kama nitaagiza au kumvua mtu yote sawa Bajeti yangu ni Milioni 8. Naomba ushauri kwani nimevutiwa na Toyota IPSUM, Toyota Wish na Toyota ISIS. Gari hizi nimezipenda kwa muonekano na nafasi yake ndani ya gari lakini sijui chochote kinachohusiana na matatizo hasa ya kiufundi na upatikanaji wa spare parts zake.
Vipi ulaji wa mafuta kwa kulinganisha kila moja maana mimi ni wale wale wabeba vidumu kwenye magari.

Natanguliza shukurani

nawasilisha
Na hyo wish uwe huna matembez nayo kwenye rafu road kumbuka iko chin sana kwa mbele angalia nying zilivyopondeka pondeka,,,,
 
Mkuu zote ni nzuri kwa space na comfortability.Hutajutia.Jaribu na Gaia
Gaia umepoint mana n gharama nafuu kwa kila kitu na ni imara sana,,,, ila kama n kijana wa show off achukue wish ila aijitahid kuitunza mana ile n kama mkate ulotiwa ktk chai
 
Na hyo wish uwe huna matembez nayo kwenye rafu road kumbuka iko chin sana kwa mbele angalia nying zilivyopondeka pondeka,,,,
Asante Kassimneema kwa ushauri maana ninakoishi ni madongo kwinama. Nitaufanyia kazi ushauri wako
 
Gaia umepoint mana n gharama nafuu kwa kila kitu na ni imara sana,,,, ila kama n kijana wa show off achukue wish ila aijitahid kuitunza mana ile n kama mkate ulotiwa ktk chai
Asante kwa kunipa wazo la Gaia nilikuwa sijaifikiria. Kwa vile umeniambia sifa zake acha niipitie mimi natafuta gari comfortable wale mie si kijana hivyo hayo mambo ya Show off nawaachia wavaa miregezo
 
Isis ndio mashine katika hizo zote hapo... Iko poa sana hasa ukipata ile vvt-i ya cc 1794. Nimeiendesha mno hio gari! Iko very spacious and comfortable.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom