Mulimila dole
JF-Expert Member
- Jul 15, 2016
- 226
- 266
Wakuu
Nina ndoto ya kumiliki gari yangu kabla ya tarehe 1 AUGUST haijalishi kama nitaagiza au kumvua mtu yote sawa Bajeti yangu ni Milioni 8. Naomba ushauri kwani nimevutiwa na Toyota IPSUM, Toyota Wish na Toyota ISIS. Gari hizi nimezipenda kwa muonekano na nafasi yake ndani ya gari lakini sijui chochote kinachohusiana na matatizo hasa ya kiufundi na upatikanaji wa spare parts zake.
Vipi ulaji wa mafuta kwa kulinganisha kila moja maana mimi ni wale wale wabeba vidumu kwenye magari.
Natanguliza shukurani
nawasilisha
Nina ndoto ya kumiliki gari yangu kabla ya tarehe 1 AUGUST haijalishi kama nitaagiza au kumvua mtu yote sawa Bajeti yangu ni Milioni 8. Naomba ushauri kwani nimevutiwa na Toyota IPSUM, Toyota Wish na Toyota ISIS. Gari hizi nimezipenda kwa muonekano na nafasi yake ndani ya gari lakini sijui chochote kinachohusiana na matatizo hasa ya kiufundi na upatikanaji wa spare parts zake.
Vipi ulaji wa mafuta kwa kulinganisha kila moja maana mimi ni wale wale wabeba vidumu kwenye magari.
Natanguliza shukurani
nawasilisha