Thank youPUBLIC HEALTH
NotedNilikuwa nimeshikwa na kigugumizi, nikidhani ni undergraduate.
Kama ni masters go for public health,
Ivi kwa nini wanasema hiyo kozi MPH ndo nzuri ?fursa zake Ni zipi? Na je kwa mtu asie na shahada ya afya undergraduate Yani Ana shahada ya sayansi na elimu katika masomo ya kemia na biology je anaweza kusoma kozi hiyo? Na je shughuli anaweza kufanya kupitia kozi hiyo Ni zipi? Naombeni msaada juu ya hilo?Nilikuwa nimeshikwa na kigugumizi, nikidhani ni undergraduate.
Kama ni masters go for public health,