Ushauri: Kama una biashara na unataka kuwaachia watoto wako wasimamie, masuala ya fedha muachie mtoto wa kike

Anita Kajembe

JF-Expert Member
Jun 29, 2021
215
485
Mtoto wa kike tamaa yake kubwa itakuwa ni kupendeza na kuwakoga wenzake. Kama atachomoa hela za kampuni itakuwa ni kwa ajili ya nguo, vikuku vya dhahabu na handbags. Mtoto wa kike kama ni mpenzi atakuwa nae mmoja na ni mara chache sana atamshirikisha katika mambo ya pesa.

Mtoto wa kiume anataka ajulikane kwa mabinti. Binti atakaemringia atampandishia dau. Yuko tayari kumnunulia gari. Hizi ni pesa baada ya yeye kupendeza.

Wazazi wengine huwapa mitaji watoto wao na kuwaasa wasitegemee mali yake. Simu za mwisho wengine huwacha usia mali ipelekwe kwa watoto yatima na wanaishi katika mazingila magumu. Wengine hutoa mali Kanisani au Msikitini.
 
Mtoto wa kike simuamini na wala usimuamini kwa chochote na anaweza kupeleka kila kitu kwa mtu sababu wanawake wako very sensitive and sentimental.
considering mwanamke ni muongozwaji tu mbele ya mwanaume.

mtoto wa kiume mfundishe maadili na awe kijana anayejitambua then we're good.
 
Mtoto wa kike simuamini na wala usimuamini kwa chochote na anaweza kupeleka kila kitu kwa mtu sababu wanawake wako very sensitive and sentimental.

mtoto wa kiume mfundishe maadili na awe kijana anayejitambua then we're good.
nakuunga mkona mjomba maan mtoto wa kike kuna probability kubwa kuwa convinced na mpenzi wake wa kiume..
wanaume nao ni wajanja.. wakishajua kuwa dem wake yupo kwenye ela.. anaweza kutumai mbinu yoyote ile kuhakikisha hizo pesa nae anazifaidi.. njia ni nyingi. anaweza kumnogeshae mpenzi mwanzo mwisho akiwa tu na lengo la kufaidika kwenye hizo ela.. ko mtoto wa kike hafai kuachiwa mali chini ya uongozi wake..
full stop..
 
nakuunga mkona mjomba maan mtoto wa kike kuna probability kubwa kuwa convinced na mpenzi wake wa kiume..
wanaume nao ni wajanja.. wakishajua kuwa dem wake yupo kwenye ela.. anaweza kutumai mbinu yoyote ile kuhakikisha hizo pesa nae anazifaidi.. njia ni nyingi. anaweza kumnogeshae mpenzi mwanzo mwisho akiwa tu na lengo la kufaidika kwenye hizo ela.. ko mtoto wa kike hafai kuachiwa mali chini ya uongozi wake..
full stop..
Watoto wa kike huwa tunakumbuka kuweka mazingila ya nyumbani vizuli hata tukiwa kwenye ndoa. Uko radhi uwalishe watoto mahalage lakini ununue mabati ya nyumba ya wazee.
 
Wa kike hpana labda awe ashatendwa sana na amezalishwa ametelekezwa
 
Wakike huyuhuyu ambaye mwaisa anamuita nyonyoma...!!!
Akimwambia mwaisa fanya kama unairukia ujue mwaisa atarukia mpaka account za Bank.
 
Watoto jinsia zote wanaweza kuwa bora katika kusimamia biashaa na masuala ya fedha ,

kama tu watakuwa wampewea malezi bora na mafunzo ya kutosha kutoka kwa hao wazazi wao/guardians wao...

malezi tabia njema , wakijengeka hivyo tangu wakiwa wadogo wakafanikiwa kuwa na maadili mazuri basi watafanikiwa.

Elimu nzuri ya darasani pamoja na uwezo binafsi pia vitawasaidia na sio kutegemea tu huyu mtoto jinsia yake .
 
Watoto wa kike huwa tunakumbuka kuweka mazingila ya nyumbani vizuli hata tukiwa kwenye ndoa. Uko radhi uwalishe watoto mahalage lakini ununue mabati ya nyumba ya wazee.
Sasa' mtoto wa tajiri aweke mazingira gani mazuri nyumbani wakati tayari majumba ya fahari yalishajengwa na wazazi wake? Achana na akili za kimaskini ati kulisha watoto maharage?!
 
Back
Top Bottom