Habari wadau..
Kiukweli TBC imerudi nyuma sana kwa maoni yangu.. sio ile TBC ya tunaangalia hadi EPL, sio ile ya kuangalia vipindi vya kisasa kwa Quality ya kisasa..
TBC ilikuwa hadi na midahalo ya ukweli, Tangu alivyoondoka Tido Mhando TBC inazidi kufa..Yaani hata uwe na Tv ya kisasa ya bei gani bado picha quality ya TBC ni mbovu na vipindi vibovu
Kiukweli TBC imerudi nyuma sana kwa maoni yangu.. sio ile TBC ya tunaangalia hadi EPL, sio ile ya kuangalia vipindi vya kisasa kwa Quality ya kisasa..
TBC ilikuwa hadi na midahalo ya ukweli, Tangu alivyoondoka Tido Mhando TBC inazidi kufa..Yaani hata uwe na Tv ya kisasa ya bei gani bado picha quality ya TBC ni mbovu na vipindi vibovu