Sasa kipi usichoelewa hapo!?
Kutongoza zaidi ya mara tano inasikitisha! Lakini kuambiwa na mwanamke huyo huyo nini ufanye ili usimpoteze halafu bado hujui cha kufanya inasikitisha na kusononesha Mara milioni!!!!
jaribu kumtumia M-PESA uone reaction yake.
Mkuu unawezaje kumtumia mtu M-PESA?
unaona sasa swali la kipumbavu hivi!
hivi huwa mnafikiri kwa kutumia nini?
wewe ambacho hujaelewa ni nini? umesoma fasihi?