USHAURI: Kabla ya kuanzisha Benki ya Vijana tujiulize Benki ya wanawake na Wakulima zimekwama wapi? Dirisha la vijana katika benki zetu linatosha?

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
11,977
20,616
Nilimsikia Rais wetu mpendwa Mama Samia akisema tuanzishe Benki ya Vijana. Kwa kuwa alileta wazo, basi mimi naongezea katika wazo lake, Benki zilizopo zinatosha, ila serikali iweke dirisha maalum kwa ajili ya vijana.

Nina maana kwamba, kama serikali ilipanga kutumia bilioni hamsini kuanzisha Benki, basi hizo hela ziwekwe katika mabenki yaliyopo. NMB-Posta, CRDB na kadhalika, kijana akitaka kukopa anakwenda huko.

Kuanzisha Benki upya kabisa ni shughuli pevu, na pia serikali itakuwa imejiondoa katika mtego wa vijana kuona hiyo ni mikopo ya kisiasa, na pia mabenki hayo yana uzoefu wa kushughulika na mikopo.

Ni hayo tu.
#matege
RIHel Stone
 
Kwani wewe huoni jinsi wakulima walivyoondokana na ufukara baada ya benki yao ya wakulima kuasisiwa๐Ÿ˜š๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.
Wanawake pia wametoka kimaisha baada ya benki yao kuanzishwa๐Ÿ˜š๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜.
Au unawaonea wivu Vijana ?
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Kwani wewe huoni jinsi wakulima walivyoondokana na ufukara baada ya benki yao ya wakulima kuasisiwa๐Ÿ˜š๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.
Wanawake pia wametoka kimaisha baada ya benki yao kuanzishwa๐Ÿ˜š๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜.
Au unawaonea wivu Vijana ?
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Eeeeh!?
 
itakuwa una hisa kwenye benki fulani hivyo vijana kuanzishiwa benki yao kutapunguza wateja wenu. Ni wazo zuri sana kwa kuwa lengo la serikali si kupata faida ila kumsaidia mwananchi, kuwepo kwa dirisha la mikopo kwa vijana kwenye benki za kibiashara ni kuongeza tatizo lile lile na vijana kushindwa kukopa.

Wazo la kuanzisha benki maalumu kwa ajili ya vijana ni zuri sana ikizingatiwa vijana ndio wazalishaji wakubwa kwenye uchumi ambao wanahitaji support kubwa ya kuwezeshwa ambayo benki za kibiashara haziwezi kufanya hivyo.
 
itakuwa una hisa kwenye benki fulani hivyo vijana kuanzishiwa benki yao kutapunguza wateja wenu. Ni wazo zuri sana kwa kuwa lengo la serikali si kupata faida ila kumsaidia mwananchi, kuwepo kwa dirisha la mikopo kwa vijana kwenye benki za kibiashara ni kuongeza tatizo lile lile na vijana kushindwa kukopa.

Wazo la kuanzisha benki maalumu kwa ajili ya vijana ni zuri sana ikizingatiwa vijana ndio wazalishaji wakubwa kwenye uchumi ambao wanahitaji support kubwa ya kuwezeshwa ambayo benki za kibiashara haziwezi kufanya hivyo.
Either hufahamu chochote au unafanya makusudi.

Bank ya vijana haitakuwepo kwa ajili hiyo unayosema.

Swali dogo, mkulima anafaidika vipi naa bank yao ya CRDB?
 
Jana nimecheka sana kusikia bungeni kuwa wanataka kuanzisha benki ya wajasiriamali, nikajiuliza itakua na tofauti gani na hizi benki zingine?
 
Nilimsikia Rais wetu mpendwa Mama Samia akisema tuanzishe Benki ya Vijana. Kwa kuwa alileta wazo, basi mimi naongezea katika wazo lake, Benki zilizopo zinatosha, ila serikali iweke dirisha maalum kwa ajili ya vijana.

Nina maana kwamba, kama serikali ilipanga kutumia bilioni hamsini kuanzisha Benki, basi hizo hela ziwekwe katika mabenki yaliyopo. NMB-Posta, CRDB na kadhalika, kijana akitaka kukopa anakwenda huko.

Kuanzisha Benki upya kabisa ni shughuli pevu, na pia serikali itakuwa imejiondoa katika mtego wa vijana kuona hiyo ni mikopo ya kisiasa, na pia mabenki hayo yana uzoefu wa kushughulika na mikopo.

Ni hayo tu.
#matege
RIHel Stone
TUNa benki ya :
1. wanawake TWB, Benki ya WAislam , ya Wakristu- Mkombozi Bank, Ya Walimu ila Wanasheria, Wakandarasi bado hawajanzisha.
TUNATAKA
2. BENKI YA WANAUME TMB [TANGANYIKA MENS BANK]
3.BENKI YA WAZEE
3. BENKI YA WAJANE
4. BENKI YA WATOTO
maana siasa imeingia kila pahala.
 
Usiwaamini wanasiasa kiivyo, utaishia tu kujiumiza nafsi....
Kwenye kampeni maza alisema "ataboresha kilimo cha ubuyu Dodoma"
 
Eeehh
TUNa benki ya :
1. wanawake TWB, Benki ya WAislam , ya Wakristu- Mkombozi Bank, Ya Walimu ila Wanasheria, Wakandarasi bado hawajanzisha.
TUNATAKA
2. BENKI YA WANAUME TMB [TANGANYIKA MENS BANK]
3.BENKI YA WAZEE
3. BENKI YA WAJANE
4. BENKI YA WATOTO
maana siasa imeingia kila pahala.
 
Nilimsikia Rais wetu mpendwa Mama Samia akisema tuanzishe Benki ya Vijana. Kwa kuwa alileta wazo, basi mimi naongezea katika wazo lake, Benki zilizopo zinatosha, ila serikali iweke dirisha maalum kwa ajili ya vijana.

Nina maana kwamba, kama serikali ilipanga kutumia bilioni hamsini kuanzisha Benki, basi hizo hela ziwekwe katika mabenki yaliyopo. NMB-Posta, CRDB na kadhalika, kijana akitaka kukopa anakwenda huko.

Kuanzisha Benki upya kabisa ni shughuli pevu, na pia serikali itakuwa imejiondoa katika mtego wa vijana kuona hiyo ni mikopo ya kisiasa, na pia mabenki hayo yana uzoefu wa kushughulika na mikopo.

Ni hayo tu.
#matege
RIHel Stone
Sakosi tu wanashindwa sembuse benki!

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
itakuwa una hisa kwenye benki fulani hivyo vijana kuanzishiwa benki yao kutapunguza wateja wenu. Ni wazo zuri sana kwa kuwa lengo la serikali si kupata faida ila kumsaidia mwananchi, kuwepo kwa dirisha la mikopo kwa vijana kwenye benki za kibiashara ni kuongeza tatizo lile lile na vijana kushindwa kukopa.

Wazo la kuanzisha benki maalumu kwa ajili ya vijana ni zuri sana ikizingatiwa vijana ndio wazalishaji wakubwa kwenye uchumi ambao wanahitaji support kubwa ya kuwezeshwa ambayo benki za kibiashara haziwezi kufanya hivyo.
Benki majukumu yake yanafahamika,zilizopo zinatosha, liwekwe dirisha maalum la vijana katika kila benki,kama kijana mkulima,aende benki ya wakulima,mwalimu aende benki ya waalimu, muwekezaji ipo benki pale,
 
Back
Top Bottom