i am an architect, and it is a very good profession, bt as u know, kila kitu kina uzuri wake na ubaya wake, depends on how u weigh it,,,but 4 real, it is a very good profession, which unaweza kujiajiri kirahisi sana,kuanzia hata ukiwa chuo mwaka wa pili lets say, coz ndugu zako wataanza kukufuata uwachoree ramani ndogo ndogo, n u start making clients mpaka ukifika ukubwani, success will b ryt through ur hands, bt shida nyingne ni kwamba its a long course at school, 5 yearz sio mchezo,, datz it broo,,, kuhusu ajira, kila mahali ni pagumu siku hizi,,, u just hav to struggle n pray, bt i think architecture ina faida coz ata kama hujaajiriwa,u can still kutafuta dili zako ndogo ndogo ukawa unapata pesa ya kusukuma maisha hapa mjini, na dili zipo sikufichi,,,ajira zenyewe mishahara sio kiviiile, datz y most of us end up kujiajiri na kufungua our own architectural firms,, thats all mdogo wangu,,,its u to weigh now, coz nimekwambia ukweli wa kila kitu both positives and negatives
Nimeupenda ushauri wako, natamani kila mtu awe anashauri kwa kuangalia pande zote... kazi kwako uliyeuliza kufanya uamuzi sahihii am an architect, and it is a very good profession, bt as u know, kila kitu kina uzuri wake na ubaya wake, depends on how u weigh it,,,but 4 real, it is a very good profession, which unaweza kujiajiri kirahisi sana,kuanzia hata ukiwa chuo mwaka wa pili lets say, coz ndugu zako wataanza kukufuata uwachoree ramani ndogo ndogo, n u start making clients mpaka ukifika ukubwani, success will b ryt through ur hands, bt shida nyingne ni kwamba its a long course at school, 5 yearz sio mchezo,, datz it broo,,, kuhusu ajira, kila mahali ni pagumu siku hizi,,, u just hav to struggle n pray, bt i think architecture ina faida coz ata kama hujaajiriwa,u can still kutafuta dili zako ndogo ndogo ukawa unapata pesa ya kusukuma maisha hapa mjini, na dili zipo sikufichi,,,ajira zenyewe mishahara sio kiviiile, datz y most of us end up kujiajiri na kufungua our own architectural firms,, thats all mdogo wangu,,,its u to weigh now, coz nimekwambia ukweli wa kila kitu both positives and negatives
Nimeupenda ushauri wako, natamani kila mtu awe anashauri kwa kuangalia pande zote... kazi kwako uliyeuliza kufanya uamuzi sahihi
Bahati ilioje amepata ushauri kutoka kwa archtecture kabisa.
ahsante sana.... Nimeupenda shauri wako architecter naomba pia unipe zaidi ndugu