Ushauri juu ya masomo architecture na ajira yake Tanzania

Hau

Member
Nov 14, 2011
24
1
napenda kujua wanafani au walio sikia kuhusu fani hii pamoja na ajira yake hapa nchi.... Je ni sawa na fani nyingine ktk suala la ajira nchi IT,Accountant.
 
Ndugu yangu, this is what is called mother professional. Kama umepata nafasi hiyo fanya kwa juhudi na hutojutia i promise.
 
i am an architect, and it is a very good profession, bt as u know, kila kitu kina uzuri wake na ubaya wake, depends on how u weigh it,,,but 4 real, it is a very good profession, which unaweza kujiajiri kirahisi sana,kuanzia hata ukiwa chuo mwaka wa pili lets say, coz ndugu zako wataanza kukufuata uwachoree ramani ndogo ndogo, n u start making clients mpaka ukifika ukubwani, success will b ryt through ur hands, bt shida nyingne ni kwamba its a long course at school, 5 yearz sio mchezo,, datz it broo,,, kuhusu ajira, kila mahali ni pagumu siku hizi,,, u just hav to struggle n pray, bt i think architecture ina faida coz ata kama hujaajiriwa,u can still kutafuta dili zako ndogo ndogo ukawa unapata pesa ya kusukuma maisha hapa mjini, na dili zipo sikufichi,,,ajira zenyewe mishahara sio kiviiile, datz y most of us end up kujiajiri na kufungua our own architectural firms,, thats all mdogo wangu,,,its u to weigh now, coz nimekwambia ukweli wa kila kitu both positives and negatives
 
i am an architect, and it is a very good profession, bt as u know, kila kitu kina uzuri wake na ubaya wake, depends on how u weigh it,,,but 4 real, it is a very good profession, which unaweza kujiajiri kirahisi sana,kuanzia hata ukiwa chuo mwaka wa pili lets say, coz ndugu zako wataanza kukufuata uwachoree ramani ndogo ndogo, n u start making clients mpaka ukifika ukubwani, success will b ryt through ur hands, bt shida nyingne ni kwamba its a long course at school, 5 yearz sio mchezo,, datz it broo,,, kuhusu ajira, kila mahali ni pagumu siku hizi,,, u just hav to struggle n pray, bt i think architecture ina faida coz ata kama hujaajiriwa,u can still kutafuta dili zako ndogo ndogo ukawa unapata pesa ya kusukuma maisha hapa mjini, na dili zipo sikufichi,,,ajira zenyewe mishahara sio kiviiile, datz y most of us end up kujiajiri na kufungua our own architectural firms,, thats all mdogo wangu,,,its u to weigh now, coz nimekwambia ukweli wa kila kitu both positives and negatives

umemshauri vizuri sana,safi sana mkuu.
 
i am an architect, and it is a very good profession, bt as u know, kila kitu kina uzuri wake na ubaya wake, depends on how u weigh it,,,but 4 real, it is a very good profession, which unaweza kujiajiri kirahisi sana,kuanzia hata ukiwa chuo mwaka wa pili lets say, coz ndugu zako wataanza kukufuata uwachoree ramani ndogo ndogo, n u start making clients mpaka ukifika ukubwani, success will b ryt through ur hands, bt shida nyingne ni kwamba its a long course at school, 5 yearz sio mchezo,, datz it broo,,, kuhusu ajira, kila mahali ni pagumu siku hizi,,, u just hav to struggle n pray, bt i think architecture ina faida coz ata kama hujaajiriwa,u can still kutafuta dili zako ndogo ndogo ukawa unapata pesa ya kusukuma maisha hapa mjini, na dili zipo sikufichi,,,ajira zenyewe mishahara sio kiviiile, datz y most of us end up kujiajiri na kufungua our own architectural firms,, thats all mdogo wangu,,,its u to weigh now, coz nimekwambia ukweli wa kila kitu both positives and negatives
Nimeupenda ushauri wako, natamani kila mtu awe anashauri kwa kuangalia pande zote... kazi kwako uliyeuliza kufanya uamuzi sahihi
 
ahsante sana.... Nimeupenda shauri wako architecter naomba pia unipe zaidi ndugu
 
Tungepata watu wanaoshauri vijana hivyo,vijana wetu wangekuwa mbali sana kimaendeleo!Huu ndio uchawi wa wazungu!Belivdat
 
Back
Top Bottom