Ushauri juu ya Green House na Drip Irrigation

Sangoma

JF-Expert Member
Apr 7, 2012
342
162
Wana jf Habari za majukumu,niko Serengeti mkoa wa Mara na jishughulisha na kilimo ila kwa sasa nahitaji kufanya kisasa kidogo nahitaji kujenga green house ya mita 15 kwa 25 kwa ajiri ya nyanya au kufunga drip irrigation ukubwa wa shamba ni ekari 1 kwa ajiri ya nyanya msaada wa kipi kitafaa zaidi kwa ajiri ya nyanya na wapi naweza pata vifaa kwa ajiri ya drip irrigation kwa bei isio kuwa na madalali na wapi nitapata vifaa kwa ajiri ya green house hata kama ni nje nipe namna ya jinsi kutafuta ili niweze kununua na utofauti wa ubora wa material.
 
Wasiliana na mm mtaalam mbobezi nikiwa na experience ya kutosha (0763347985/0673000103)

Design, installation, materials supply
Octavian Lasway (irrigation and water resources engineer)
 
Nataka kuanzisha kilimo cha mboga-mboga kwenye mifuko iliyotumika ya "salfeti". Mwenye uzoefu plz
 
Drip Irrigation:Ni mfumo wa umwagliaji wa matone {Drip irrigation system} ambao unafanya kazi Kama zile za drip hospitalini za kuongezewa maji/damu ambazo uwa tunaziita drip wanasemaga mtu katundikwa drip ya maji.
✓Vitu vinavyo tumika kutengenezea drip irrigation system Ni Kama vile:
•Pump
•Filter/chujio
•Backwash controller/control valve
•Water tank/resouvr/chanzo cha maji
•Main line/pipe
•Gates valves
✓Faida:
•Haki sawa kwa Kila mmea
•Matumizi mazuri ya mbolea
•Kupunguza shida ya magugu shambani
•Matumizi mazuri ya maji
•Inapunguza gharama ya nguvu kazi/changamoto ya nguvu kazi
•Kuongeza uzaaji
•kupunguza mmomonyoko wa ardhi
✓Hasara:
•Ni ghali zaidi kwa maana inaitaji wataalamu has a wakati wa installation ka vile Engineer of water resources & irrigation system napia tank la 2000m linaweza kuchukua kuanzia 1.8m/2m.
 
Drip Irrigation:Ni mfumo wa umwagliaji wa matone {Drip irrigation system} ambao unafanya kazi Kama zile za drip hospitalini za kuongezewa maji/damu ambazo uwa tunaziita drip wanasemaga mtu katundikwa drip ya maji.
✓Vitu vinavyo tumika kutengenezea drip irrigation system Ni Kama vile:
•Pump
•Filter/chujio
•Backwash controller/control valve
•Water tank/resouvr/chanzo cha maji
•Main line/pipe
•Gates valves
✓Faida:
•Haki sawa kwa Kila mmea
•Matumizi mazuri ya mbolea
•Kupunguza shida ya magugu shambani
•Matumizi mazuri ya maji
•Inapunguza gharama ya nguvu kazi/changamoto ya nguvu kazi
•Kuongeza uzaaji
•kupunguza mmomonyoko wa ardhi
✓Hasara:
•Ni ghali zaidi kwa maana inaitaji wataalamu has a wakati wa installation ka vile Engineer of water resources & irrigation system napia tank la 2000m linaweza kuchukua kuanzia 1.8m/2m.
Benson, ulishawahi install hii system?
Nahitaji mtaalamu wa kinitandazia hii system
 
Back
Top Bottom