Secret person
JF-Expert Member
- Sep 23, 2019
- 242
- 358
Habari Wakuu.
Nimekuwa nikifanya biashara ya Viatu vya mtumba simple za wadada na Raba kwa Dar ambapo Uwa nilianza kwa kupoint Hivi viatu soko la karume Alfajiri sana unajihimu.
Kwa sasa nimepata wazo la kwenda kufanya biashara hii katika mkoa wa Iringa ambao ndo asili yetu na sababu kubwa ya kutaka kwenda huko ninaamini ndo ninatoboa.
Kiuhalisia kwa Upande wa Iringa ninachojua nina Ndugu so uhakika wa kukaa upo.
Nilikuwa ninaomba ushauri wenu wakuu.
Mtaji ninao 200K na stock zaidi ya Pair 30 ambazo uwa natembeza kwa Dar.
Nimekuwa nikifanya biashara ya Viatu vya mtumba simple za wadada na Raba kwa Dar ambapo Uwa nilianza kwa kupoint Hivi viatu soko la karume Alfajiri sana unajihimu.
Kwa sasa nimepata wazo la kwenda kufanya biashara hii katika mkoa wa Iringa ambao ndo asili yetu na sababu kubwa ya kutaka kwenda huko ninaamini ndo ninatoboa.
Kiuhalisia kwa Upande wa Iringa ninachojua nina Ndugu so uhakika wa kukaa upo.
Nilikuwa ninaomba ushauri wenu wakuu.
Mtaji ninao 200K na stock zaidi ya Pair 30 ambazo uwa natembeza kwa Dar.