Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Aanzishe CHAMA CHAKENadhani hukujua kuwa wanaCcm kuwa ni watu wabaya na wenye unafiki kiwango cha Phd. Hukufanya kosa lolote kuhoji na kueleza unavyoumia baada ya Rais Samia kukopa pesa kwa ajili ya ujenzi wa madarasa ili hali kuna tozo na kodi.
Walikuvizia, ukaomba msamaha kinafiki kama walivyowanaCCM na wakakuondoa kwa mabavu.
Sasa kuna dalili kuwa hawakutaki kabisa na ni sababu ya kuw mwenyekiti wenu wa CCM hakutaki. Huu ndio wa kuja Chadema ili upate kick kama mtu unayepinga ufisadi. Karibu baba 2025 is near.
View attachment 2105447
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app