Ushauri: Job Ndugai karibu CHADEMA, utapata heshima kubwa kwa kusimamia misingi ya katiba na kuhoji harufu ya ufisadi. Utapata kick kubwa

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Sep 13, 2020
3,166
4,581
Nadhani hukujua kuwa wanaCcm kuwa ni watu wabaya na wenye unafiki kiwango cha Phd. Hukufanya kosa lolote kuhoji na kueleza unavyoumia baada ya Rais Samia kukopa pesa kwa ajili ya ujenzi wa madarasa ili hali kuna tozo na kodi.

Walikuvizia, ukaomba msamaha kinafiki kama walivyowanaCCM na wakakuondoa kwa mabavu.

Sasa kuna dalili kuwa hawakutaki kabisa na ni sababu ya kuw mwenyekiti wenu wa CCM hakutaki. Huu ndio wa kuja Chadema ili upate kick kama mtu unayepinga ufisadi. Karibu baba 2025 is near.
image_search_1643726753343.jpg
 
Yaani aache marupurupu ya Usupika akagange njaa CDM? Hata CDM ina wenyewe.
 
Nadhani hukujua kuwa wanaCcm kuwa ni watu wabaya na wenye unafiki kiwango cha Phd. Hukufanya kosa lolote kuhoji na kueleza unavyoumia baada ya Rais Samia kukopa pesa kwa ajili ya ujenzi wa madarasa ili hali kuna tozo na kodi.

Walikuvizia, ukaomba msamaha kinafiki kama walivyowanaCCM na wakakuondoa kwa mabavu.

Sasa kuna dalili kuwa hawakutaki kabisa na ni sababu ya kuw mwenyekiti wenu wa CCM hakutaki. Huu ndio wa kuja Chadema ili upate kick kama mtu unayepinga ufisadi. Karibu baba 2025 is near.
View attachment 2105447
He is monitored, hana room ya kufanya siasa. Nafikiri CCM anaijua vizuri.
 
Back
Top Bottom