Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,166
- 4,581
Nadhani hukujua kuwa wanaCcm kuwa ni watu wabaya na wenye unafiki kiwango cha Phd. Hukufanya kosa lolote kuhoji na kueleza unavyoumia baada ya Rais Samia kukopa pesa kwa ajili ya ujenzi wa madarasa ili hali kuna tozo na kodi.
Walikuvizia, ukaomba msamaha kinafiki kama walivyowanaCCM na wakakuondoa kwa mabavu.
Sasa kuna dalili kuwa hawakutaki kabisa na ni sababu ya kuw mwenyekiti wenu wa CCM hakutaki. Huu ndio wa kuja Chadema ili upate kick kama mtu unayepinga ufisadi. Karibu baba 2025 is near.
Walikuvizia, ukaomba msamaha kinafiki kama walivyowanaCCM na wakakuondoa kwa mabavu.
Sasa kuna dalili kuwa hawakutaki kabisa na ni sababu ya kuw mwenyekiti wenu wa CCM hakutaki. Huu ndio wa kuja Chadema ili upate kick kama mtu unayepinga ufisadi. Karibu baba 2025 is near.