Ushauri: Jinsi ya kuwaonya watoto waache tabia ya kujaribu kufanya mapenzi

JMipicha

JF-Expert Member
Mar 31, 2020
705
1,070
Habari wana Jf naimani mko powa sana...

Niende kwenye mada mmoja kwa moja. Hii imetokea leo bi dada karudi nyumbani kutoka katika mishe zake.

Kakuta mtoto wake wa kike umri miaka 8 na mtoto wa mdogo wake umri nae miaka 8 wakiwa wamejifunika uku wa kike akiwa kashusha chu**p .

Kashikwa na butwaa ndipo aliponieleza nikamwambia solution sio kuwachapa ni kuwapa elimu .

Nimekosea ndugu zangu. Mwenye ushauri zaidi naomba ili tujue tunawasaidiaje hawa watoto.

Nawasilisha...
 
Habari wana jf naiman mko powa sana ...

Niende kwenye mada mmoja kwa moja .Hii imetokea leo bi dada karudi nyumban kutoka katika mishe zake .Kakuta mtoto wake wa kike umri miaka 8 na mtoto wa mdogo wake umri nae miaka 8 wakiwa wamejifunika uku wa kike akiwa kashusha chu**p .Kashikwa na butwaa ndipo aliponieleza nikamwambia solution sio kuwachap ni kuwapa elimu .Nimekosea ndugu zangu .Mwenye ushauri zaid naomba .Ili tujue tunawasaidiaje hawa watoto .

Nawasilisha ...
Kuna watu hawako sirias yani miaka nane wasa ni watoto.

Hao ni wakubwa mkuu sasa wanapractice waliyojifunza kwa kuona na kuyasikia tokea wakiwa na siku moja ya kuzaliwa mpaka kufikia miaka 8 hiyo.

La kufanya awe anawapa darasa kila uchao na kuwakemea kwa hoja zenye kuwaridhisha watoto kuwa jambo hilo kweli ni baya kwa sababu mpaka wamefikia hatua hiyo manake hilo jambo tayari lipo katika mioyo yao tokea muda tu,hivyo inahitaji muda pia kuwatoa jambo hilo.

Kuwapiga bakora na kuwakaripia hiyo haitawafanya waache bali itawafanya wafanye kwa tahadhari na vificho vikubwa ili wasionekane na anaewakataza.

Ongeeni na watoto wenu na kuwapa chakula cha ubongo kila uchao vinginevyo watoto watajifunza kwa kina walimwengu ambao asilimia 80 ya maudhui ya dunia ya sasa ni ngono tu
 
Kuna watu hawako sirias yani miaka nane wasa ni watoto.

Hao ni wakubwa mkuu sasa wanapractice waliyojifunza kwa kuona na kuyasikia tokea wakiwa na siku moja ya kuzaliwa mpaka kufikia miaka 8 hiyo.

La kufanya awe anawapa darasa kila uchao na kuwakemea kwa hoja zenye kuwaridhisha watoto kuwa jambo hilo kweli ni baya kwa sababu mpaka wamefikia hatua hiyo manake hilo jambo tayari lipo katika mioyo yao tokea muda tu,hivyo inahitaji muda pia kuwatoa jambo hilo.

Kuwapiga bakora na kuwakaripia hiyo haitawafanya waache bali itawafanya wafanye kwa tahadhari na vificho vikubwa ili wasionekane na anaewakataza.

Ongeeni na watoto wenu na kuwapa chakula cha ubongo kila uchao vinginevyo watoto watajifunza kwa kina walimwengu ambao asilimia 80 ya maudhui ya dunia ya sasa ni ngono tu

Asante brother on point
 
Hao ni watoto elimu yao ni bakora2 yani unavichapa mpaka vinapata homa kesho hata vikionana vinakimbiana vyenyewe leo unakaa unaviambia maneno gani ili vikuelewe?

Kwamba utaviambia kuna magonjwa sjui ukimwi au subirini muda wenu ufike ndo mtakuja fanya mpaka mchoke uuuuujiiiiinga huo we charaza bakora.

Halafu najiulizaga sana hivi huu uzungu umetoka wapi eti mtoto hapigwi hivi unaakili kweli? Au mwenzetu fimbo hazijakufunza kitu chochote ndomana huoni thamani ya fimbo sasa kama hivyo we wape elimu kesho utawakuta wakinyanduana tena wakikwambia tumechoka kusubiri huo muda ni mrefu sana sisi tunachelewa
 
Hao ni watoto elimu yao ni bakora2 yani unavichapa mpaka vinapata homa kesho hata vikionana vinakimbiana vyenyewe leo unakaa unaviambia maneno gani ili vikuelewe? Kwamba utaviambia kuna magonjwa sjui ukimwi au subirini muda wenu ufike ndo mtakuja fanya mpaka mchoke.uuuuujiiiiinga huo we charaza bakora. Halafu najiulizaga sana hivi huu uzungu wa kisengesenge umetoka wapi eti mtoto hapigwi hivi unaakili kweli? Au mwenzetu fimbo hazijakufunza kitu chochote ndomana huoni thamani ya fimbo sasa kama hivyo we wape elimu kesho utawakuta wakinyanduana tena wakikwambia tumechoka kusubiri huo muda ni mrefu sana sisi tunachelewa

Asante kwa ushauri brother
 
kuna video moja inatembea mitandaoni nimeona kitoto cha kike umri kama miaka 7 kinakatika viuno hatari yaani Ray C haoni ndani.......
Hii dunia inakoelekea sio kabisa nashauri TCRA wasiisie wasafi tuu rungu litembee kila kona.
 
Back
Top Bottom