Nina principle mbili na s moja. Nataka kusoma degree kwa kujilipia mwenyewe bila mkopo. Sababu naogopa kuaply kama nikikosa kuchaguliwa itabidi nisome diploma ndio maana nataka kujilipia degree ili icje ikanicost zaidi.
Naomba mniambie na vyuo ambapo naweza kusoma degree ya edu, ila nikimaliza nataka niunganishe masters. Ushauri
Naomba mniambie na vyuo ambapo naweza kusoma degree ya edu, ila nikimaliza nataka niunganishe masters. Ushauri