USHAURI: Je ni vibaya/udhaifu kwa MWANAUME kutaka kuoa MWANAMKE mwenye pesa AU aliyetoka kwenye familia yenye uwezo kuzidi yake(Wealthy family)?

THAN0S

JF-Expert Member
Apr 30, 2019
739
697
Hello wanaJF, baada ya pitapita zangu hapa JF nimeona kuna ukingano wa mawazo, baadhi ya WANAWAKE wanaona ni sawa kwao kuolewa na WANAUME wenye uwezo mkubwa wa kifedha au waliotoka kwenye familia yenye uwezo mkubwa wa kifedha japo wao ni wa hali ya kawaida na hii hata kama hawana mapenzi nao ili tu kujijengea financial future/economic stability bora mbeleni.(sioni shida hapa, personally)
Ila likija suala la MWANAUME kutaka kuoa MWANAMKE mwenye fedha au aliye toka familia yenye uwezo inachukuliwa kama udhaifu flani (both wanaume na wanawake wanaponda sana hili) Je ni Kwanini inakuwa hivi???

Kwa mfano mi ni Kijana mwenye umri kati ya 24- 29, nileyetoka familia ya uwezo wa kati, nimesoma shule nzuri toka nursery paka secondary, na pia nimehitimu stashahada nchini Kenya. Nimeajiriwa na naendesha small scale business sihitaji kulelewa au sina dhiki yakivilee ila siamini katika ndoa kwajili ya mapenzi(nimeona walioana kwa mapenzi nakusalitiana na mengine mengi yanayotokea ktka mapenzi)
Mi na amini kama nitakuja kuoa, nioe strategically kwa mwanamke aliyetoka kwenye familia yenye uwezo wa juu zaidi au mwenye kipato kikubwa, hii itanisaidia kwenye hustle zangu/connections(the rich interact with the rich) na kunipa push pia Nita secure a better financial ground kwa watoto wajao.
Hata koo za zamani(especially Europe medieval era) marriage ilikuwa more financial strategic na sio about love, hata baadhi ya makabila ya ki Asia wanaozeshana kwa strategy.
French philosopher Montesquieu wrote that any man who was actually in love with his wife was probably too dull to be loved by another woman..
KWAHIYO KUNA UBAYA GANI KUWA NA MAWAZO KAMA HAYA KWA KIJANA KAMA MIMI?
 
Well,.Me naomba niseme hivi tuu,.wealthy isn't sexual transmitted diseases kwamba ukikulana na mtu mwenye ukwasi basi naww utaambukizwa,.au ukiwa karibu na waridi basi naww utanukia hahaha mawaridi mengine hayana tofauti na mchunga au mchacha...

Ni hilo tu.
 
Pesa hufuata mkondo.

Ukiifata utaipata.

Rich associated with rich.

Ukitaka kuwa tajiri, kaa na tajiri, akupe mawazo na hari ya kitajiri.

Maisha ni mipango, na kupanga ni kuchagua.

All the best!
 
Well,.Me naomba niseme hivi tuu,.wealthy isn't sexual transmitted diseases kwamba ukikulana na mtu mwenye ukwasi basi naww utaambukizwa,.au ukiwa karibu na waridi basi naww utanukia hahaha mawaridi mengine hayana tofauti na mchunga au mchacha...

Ni hilo tu.
Of course it's not sexual transmitted, but think about it wisely without bias, don't you think a strategic marriage is one more stepping stone to wealth.
Kwa mfano angalia mtu kama Lugumi hata shule hajaenda ila ni mkwe wa Kigogo hii imemsaidia kupata tenda za serikali na sasa ni Tajiri wa pesa zake binafsi, kuna mu Oman mwingine namfahamu alikuwa hana kitu ila ameoa kwa one of the most prominent Arab families in the country hii imemsaidia kupata connections za ki biashara kwa sasa anapesa zake nyingi binafsi ata alisema arudi kwao he is good..(mifano ninayo mingi sana)

Kuna shida gani kwa mwanaume akiitaka kuoa strategical, kwanni mnaona ni sawa tu kwa mwanamke?
 
Of course it's not sexual transmitted, but think about it wisely without bias, don't you think a strategic marriage is one more stepping stone to wealth.
Kwa mfano angalia mtu kama Lugumi hata shule hajaenda ila ni mkwe wa Kigogo hii imemsaidia kupata tenda za serikali na sasa ni Tajiri wa pesa zake binafsi, kuna mu Oman mwingine namfahamu alikuwa hana kitu ila ameoa kwa one of the most prominent Arab families in the country hii imemsaidia kupata connections za ki biashara kwa sasa anapesa zake nyingi binafsi ata alisema arudi kwao he is good..(mifano ninayo mingi sana)

Kuna shida gani kwa mwanaume akiitaka kuoa strategical, kwanni mnaona ni sawa tu kwa mwanamke?
Me sijasema kama ni sawa kwa mwanamke tuu...anyway labda nikuulize,unaoa kupata connection au unaoa kwasababu ya upendo (maybe)??or what are exactly reasons behind??
 
Ukioa kwa jinsi ulivyodhamiria ni vizuri zaidi, ukimwambia mwanamke kuwa nakuoa kwasababu ya fedha zako ili nitengeneze connection ni vizur kuliko kumdanganya unampenda .
Be logical, of course unachosema haiwezekani.. Sisi ndio watongozaji tunajua Kutongoza ni uongo na ukweli tu? Ni kama mwanasiasa a apo omba kura.
Inamaana wanaume wote Wanao oa wanaoa kwa sababu ya mapenzi, lahasha wengine wanaoa ila wapate mtoto, mwingine anaoa awe tu mwanamke mzuri tu ndani, mwingine anaoa mwanamke mpole/ mdhaifu aonekane tu ameoa katika jamii akijua hata akiendelea kuchepuka huyo mwanamke atofanya chochote(Eg wife wa Bashite, wife wa gwajima)
Wanaume tunaoa kwa sababu nyingi sana tu ila hatuwez kuwaambia ukweli wakati wa kutongoza.
 
Me sijasema kama ni sawa kwa mwanamke tuu...anyway labda nikuulize,unaoa kupata connection au unaoa kwasababu ya upendo (maybe)??or what are exactly reasons behind??

Both love and wealth

Hakuna asiyependa mapenzi na utajiri.

But love comes first, wealth follows.

Kama unapenda na ana future, nenda naye.

Kama una mpenda, ila ukioa ni mzigo, basi achana na hiyo maana hata ndugu wanaweza kukutegemea na kukupa ufukara wa kudumu
 
Both love and wealth

Hakuna asiyependa mapenzi na utajiri.

But love comes first, wealth follows.

Kama unapenda na ana future, nenda naye.

Kama una mpenda, ila ukioa ni mzigo, basi achana na hiyo maana hata ndugu wanaweza kukutegemea na kukupa ufukara wa kudumu
Ow,really....?!
 
Huna makosa inategemea na mtazamo wako;kwa upande wangu huwa naangalia mtu mwenye mapenzi ya kweli ambaye pia ni 'risk taker' katika utafutaji,nitakayemwambia nataka niache kazi hii nifanye kazi ile na anipe ushirikiano kwa asilimia 100
 
Well,.Me naomba niseme hivi tuu,.wealthy isn't sexual transmitted diseases kwamba ukikulana na mtu mwenye ukwasi basi naww utaambukizwa,.au ukiwa karibu na waridi basi naww utanukia hahaha mawaridi mengine hayana tofauti na mchunga au mchacha...

Ni hilo tu.
Kumbuka
siku zote mgaa gaa na upwa hali wali mkavu.
 
Me sijasema kama ni sawa kwa mwanamke tuu...anyway labda nikuulize,unaoa kupata connection au unaoa kwasababu ya upendo (maybe)??or what are exactly reasons behind??
Uki refer kwenye Mada, siamini katika kuoa kwa sababu ya mapenzi,
Hata nisipoamua kuoa mwanamke mwenye uwezo kifedha, sinto oa mwanamke kwasababu ya mapenzi, nitao mwanamke mwenye akili, tabia,hulka nitazoweza kuzimudu.
Mapenzi is nowhere in my mind
 
Aliolewa Queen Elizabeth, sembuse hawa maslay queen wenye vijisenti?

Ukishakua mwanaume unaejielewa, hakuna mwanamke utashindwa kumcontrol!

Just make sure you're one of those rare commodities in the market, A REAL MAN!
 
Uki refer kwenye Mada, siamini katika kuoa kwa sababu ya mapenzi,
Hata nisipoamua kuoa mwanamke mwenye uwezo kifedha, sinto oa mwanamke kwasababu ya mapenzi, nitao mwanamke mwenye akili, tabia,hulka nitazoweza kuzimudu.
Mapenzi is nowhere in my mind
Kwahiyo siku huyo mwanamke kapata mental disorder utamkimbia???😅(with joke)
 
Back
Top Bottom