Afrikasana
JF-Expert Member
- Oct 27, 2021
- 320
- 283
Jana niliandika uzi nikimuomba Mh. Rais aingilie kati suala la mikopo ya elimu ya juu.
Leo eti wamefungua dirisha ili watu wakate rufaa. Hivi nyie watu wa bodi aliyewaroga ni nani?
Mtu ameomba mkopo tangu mwaka wa kwanza mathalani,mmemnyima akakata rufaa mkamnyima.
Akaja mwaka wa pili akaomba tena mnamnyima tena mnampa fursa ya kukata rufaa hivi mnafikiri kwa kina kweli?
Mtu ambaye sababu zake nizile zile kila mara mnamnyima. Mtu niyatima ameambatanisha cheti cha kifo na kimethibitishwa VIZAZI NA VIFO.
Mnamgomea mara tatu na hamumuambii mapungufu yake,mnamuambia tena akate rufaa. Au mnataka watu wakafukue maiti za wazazi wao waje nazo hapo ndio mtaamini kama niyatima?
Mnamkubaliaje mtu akate rufaa kwasababu zilezile ambazo mnazikataa kila mara?
Hivi hii nchi haina wasomi wanaofikiria zaidi ya hao hapo HESLB?
Basi iundwe bodi ya mikopo inayoshuhulikia rufaa za waombaji na sio bodi hiyo ya blaablaa inayokusanya fedha kibao za kulipia fomu kwaajili ya kuombea mkopo na hawawapi watu
Kama ikiundwa bodi hiyo ya rufaa itakua kama chombo cha kufanya tathmini juu ya uzembe, ubinafsi,kutowajibika,kibri na kukosa uzalendo kwa hiyo bodi ya wakandamizaji.
Tanzania ni yamaskini na matajiri,wenye wazazi na yatima pia.
Mh. Rais hiyo bodi isambaratishe,wakurugenzi wabadilishe, ahsante
Leo eti wamefungua dirisha ili watu wakate rufaa. Hivi nyie watu wa bodi aliyewaroga ni nani?
Mtu ameomba mkopo tangu mwaka wa kwanza mathalani,mmemnyima akakata rufaa mkamnyima.
Akaja mwaka wa pili akaomba tena mnamnyima tena mnampa fursa ya kukata rufaa hivi mnafikiri kwa kina kweli?
Mtu ambaye sababu zake nizile zile kila mara mnamnyima. Mtu niyatima ameambatanisha cheti cha kifo na kimethibitishwa VIZAZI NA VIFO.
Mnamgomea mara tatu na hamumuambii mapungufu yake,mnamuambia tena akate rufaa. Au mnataka watu wakafukue maiti za wazazi wao waje nazo hapo ndio mtaamini kama niyatima?
Mnamkubaliaje mtu akate rufaa kwasababu zilezile ambazo mnazikataa kila mara?
Hivi hii nchi haina wasomi wanaofikiria zaidi ya hao hapo HESLB?
Basi iundwe bodi ya mikopo inayoshuhulikia rufaa za waombaji na sio bodi hiyo ya blaablaa inayokusanya fedha kibao za kulipia fomu kwaajili ya kuombea mkopo na hawawapi watu
Kama ikiundwa bodi hiyo ya rufaa itakua kama chombo cha kufanya tathmini juu ya uzembe, ubinafsi,kutowajibika,kibri na kukosa uzalendo kwa hiyo bodi ya wakandamizaji.
Tanzania ni yamaskini na matajiri,wenye wazazi na yatima pia.
Mh. Rais hiyo bodi isambaratishe,wakurugenzi wabadilishe, ahsante