Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Vituo vya television vya ITV, Channel TEN na EATV hivi hawaoni aibu 'kuiba' matangazo ya watia nia ya kugombea urais? Mpaka sasa vituo hivyo vimekuwa vikichukua matangazo ya vituo vingine kisha kuita live. Hivi Mengi anakosa mitambo yake mpaka anyonye matangazo AZAM TV au Clouds? Ni aibu kubwa sana.
Mkutano wa Lowassa vituo vilivyorusha live kutoka Arusha ni Clouds TV na Azam huku ITV, Channel Ten na EATV wakichukua katika vituo hivyo.
Wakati wa Wassira waliokuwa wakirusha live ni Star tv huku ITV na Channel Ten wakinyonya Star Tv..
Mkutano wa Mwigulu ulirushwa na AZAM TV na Star Tv huku ITV na channel Ten, EATV wakichukua Star Tv.
Hii ni aibu kubwa kwa ITV kutotumia mitambo yake kurusha Live, kama wanapewa fedha ya crew n.k. wanaitafuna bure.
Mkutano wa Lowassa vituo vilivyorusha live kutoka Arusha ni Clouds TV na Azam huku ITV, Channel Ten na EATV wakichukua katika vituo hivyo.
Wakati wa Wassira waliokuwa wakirusha live ni Star tv huku ITV na Channel Ten wakinyonya Star Tv..
Mkutano wa Mwigulu ulirushwa na AZAM TV na Star Tv huku ITV na channel Ten, EATV wakichukua Star Tv.
Hii ni aibu kubwa kwa ITV kutotumia mitambo yake kurusha Live, kama wanapewa fedha ya crew n.k. wanaitafuna bure.