Nnangale
JF-Expert Member
- Jul 20, 2013
- 2,664
- 1,374
so tuwaongeze ili na ss tuongezeke? Lzm unatania.Muosha, huoshwa...tukitaka kuwapunguza na wao watataka kutupunguza š¤£
so tuwaongeze ili na ss tuongezeke? Lzm unatania.Muosha, huoshwa...tukitaka kuwapunguza na wao watataka kutupunguza š¤£
Idadi ya wananchi ikiongezeka na majimbo yataongezeka itapelekea wabunge kuongezeka....ili kuwaongeza lazima kwanza tuongezeke šso tuwaongeze ili na ss tuongezeke? Lzm unatania.
Hatuhitaji bunge kuba kiasi hicho. hatuhitaji bunge lenye vigezo vya chini vya elimu na uelewa maana ni watunga sheria na wasimamizi wa dola.Tanzania haihitaji watu wengi kwenye bunge.
Kinachohitajika ni mawazo sio wingi wa wabunge bungeni.
Huwa nafundisha kila siku na nitaendelea kufundisha kwamba dunia huongozwa na mawazo haiongozwi na wingi wa watu.
Tukipunguza idadi ya wabunge bungeni tutaokoa fedha nyingi sana ambazo zitajenga hospitali, shule na kusambaza maji vijijini.
View attachment 1873411
Hii itasaidia sana kuondoa wapumbavu wengi bungeni.
Tuanze kuondoa viti maalum pia tuangalie wingi wa majimbo. Kipindi cha magufuli alikua makini tume ya uchaguzi hawakua wanaongeza majimbo ovyoovyo eti kwa kisingizio cha ongezeko la watu. Wanasiasa wanaloby tu ili kuongeza wabunge kwa faida binafsi. Pia uanzishaji ovyo wa maeneo ya utawala usiokua na tija unaishia kuongeza matumizi ya serikali. Watu wanaloby ili kupata vyeo tu.Tanzania haihitaji watu wengi kwenye bunge.
Kinachohitajika ni mawazo sio wingi wa wabunge bungeni.
Huwa nafundisha kila siku na nitaendelea kufundisha kwamba dunia huongozwa na mawazo haiongozwi na wingi wa watu.
Tukipunguza idadi ya wabunge bungeni tutaokoa fedha nyingi sana ambazo zitajenga hospitali, shule na kusambaza maji vijijini.
View attachment 1873411
Kuna wabunge ni vilaza hata hawakustaili kuwa bungen,wanaongeza matumizi yasiyokuwa na tija.kama abood wa morogoro ni mzigo kwa taifa letuTuanze kuondoa viti maalum pia tuangalie wingi wa majimbo. Kipindi cha magufuli alikua makini tume ya uchaguzi hawakua wanaongeza majimbo ovyoovyo eti kwa kisingizio cha ongezeko la watu. Wanasiasa wanaloby tu ili kuongeza wabunge kwa faida binafsi. Pia uanzishaji ovyo wa maeneo ya utawala usiokua na tija unaishia kuongeza matumizi ya serikali. Watu wanaloby ili kupata vyeo tu.
Badala ya viti maalum vyama vya siasa viwekewe sheria kuhusu wagombea ili kuwepo uwiano wa kijinsia kwa msingi wa weledi wa mtu.
At the same time bado tunataka Chato iwe mkoa hapo itatoa majimbo mapya na gharama inaongezeka kuanzia hao wabunge, wakuu wa Halmashauri, wakuu wa wilaya, wakuu wa mikoa plus administrative machinery mpya ambayo inaongeza gharama kibao.Tanzania haihitaji watu wengi kwenye bunge.
Kinachohitajika ni mawazo sio wingi wa wabunge bungeni.
Huwa nafundisha kila siku na nitaendelea kufundisha kwamba dunia huongozwa na mawazo haiongozwi na wingi wa watu.
Tukipunguza idadi ya wabunge bungeni tutaokoa fedha nyingi sana ambazo zitajenga hospitali, shule na kusambaza maji vijijini.
View attachment 1873411
Tanzania haihitaji watu wengi kwenye bunge.
Kinachohitajika ni mawazo sio wingi wa wabunge bungeni.
Huwa nafundisha kila siku na nitaendelea kufundisha kwamba dunia huongozwa na mawazo haiongozwi na wingi wa watu.
Tukipunguza idadi ya wabunge bungeni tutaokoa fedha nyingi sana ambazo zitajenga hospitali, shule na kusambaza maji vijijini.
View attachment 1873411