Ushauri: Ianzishwe Wizara ya Mafuta na Gesi ili kuchochea ukuaji wa sekta ya mafuta na gesi Tanzania na Waziri awe Profesa Muhongo

Hii wizara iwe responsible kwenye mambo ya utafutaji (exploration), uzalishaji (production), usafishaji (refining), usambazaji (distribution), uuzaji (marketing), kuingizaji kutoka nje ya nchi (import), na utoaji kwenda nje ya nchi (export), pamoja na conservation of petroleum, natural gas, petroleum products, and liquefied natural gas Tanzania.

Maeneo muhimu ambayo ningependa hii wizara ihusike nayo ni haya yafuatayo.

1. Exploration and exploitation of petroleum resources, including natural gas (methane, helium)

2. Production, supply distribution, marketing and pricing of petroleum including natural gas and petroleum products.

3. Oil refineries, including Lube plants and natural gas plants.

4. Natural gas utilization to get valuable products.

5. Additives for petroleum and petroleum products.

6. Lube blending and greases.

7. Planning, development and control of, and assistance to all industries dealt with by the Ministry.

8. Planning, development and regulation of gasfield and oilfield services.

9. Administration of various Central laws relating to Petroleum and Natural Gas.

Ningependa wizara ya nishati ishughurikie mambo ya kuzalisha, kusambaza na kuuza umeme.

Ishughurikie uzalishaji wa umeme kutoka vyanzo mbalimbali mfano maji, gesi, joto ardhi, upepo, jua, mawimbi ya bahari n.k.

Huo ndio ushauri wangu,
Ninahisi ikiwa hivi tutaipunguzia wizara ya nishati mzigo, na tutaongeza ufanisi na ukuaji katika sekta ya mafuta na gesi Tanzania.

Nina imani Prof. Muhongo amejifunza hawezi kufanya ujanja tena. Nimempendekeza yeye kwasababu bwana Muhongo ana passion na mambo ya mafuta na gesi kwa hivyo atafanya kazi kwa bidii ili kuendeleza sekta hii Tanzania.

Karibuni kwa maoni.
Unaweza kuwa umeongea vitu vya maana ila unapohusisha utendaji kazi na maprofesa wa kibongo ni vituko vitupu hata Lijualikali anaweza kuwa na unafuu
 
Mimi nimpenda maendeleo wala sina maslahi yoyote mkuu.
Mkuu

Usidanganyike na maneno yanayokutia hamasa ukadhana ana nia njema; huyo mtu hapo anasaka kuteuliwa uwaziri ili arudi kwenye chati zake za awali.

Tuna wataalamu wengi tu wenye fani za jiolojia mmojawapo ni mkurugenzi mtendaji wa TPDC na wengine wala hawajitangazi lakini wenye elimu ya kutukuka kwenye masuala ya uhandisi katika Gesi, Mafuta, Madini, Ujenzi, Usafirishaji (Anga-Air, Nchi kavu-surface land na Majini-marine).

Kuna wataalamu wa kitanzania wako nchi za kusini mwa Afrika, Amerika kasikazini/kusini, Ulaya, China, Uingereza, nk ambao wanaweza kushawishiwa kuja kujenga nchi yao kwa uzalendo lakini sio hawa wanaotafuta kujineemesha wenyewe bila faida kwa taifa na wananchi wake.
 
Mimi na mke wangu ni ma profesa tupeni Nchi muongozwe na ma profesa CV zetu ni wastani wa tani moja gari ndogo haiwezi zifikisha Dunia ina nitambua me ndio Rais wao kwenye masuala ya miamba na mafuta!
Leo mtu kama Ole sendeka ana bishana na mimi wakati ata Darasa la saba alifeli in muongo voice
Hii wapi na lini alisema hivyo mkuu?
 
Ninapo ongea chukuweni kalamu na karatasi muandike mimi ni msomi na wafadhili wenu wana nijuwa mimi ni msomi!
kuchoraonga kwenye kina kirefu tundu moja ni dola za Kimarekani 1m unahitajika kuchoraonga tundu 12 sawa na dola milioni 12 hakuna mtanzania anaye weza wawekeze kwenye juice in muongo voice! dah
😄😁😆😅🤣😂
 
H
Mkuu

Usidanganyike na maneno yanayokutia hamasa ukadhana ana nia njema; huyo mtu hapo anasaka kuteuliwa uwaziri ili arudi kwenye chati zake za awali.

Tuna wataalamu wengi tu wenye fani za jiolojia mmojawapo ni mkurugenzi mtendaji wa TPDC na wengine wala hawajitangazi lakini wenye elimu ya kutukuka kwenye masuala ya uhandisi katika Gesi, Mafuta, Madini, Ujenzi, Usafirishaji (Anga-Air, Nchi kavu-surface land na Majini-marine).

Kuna wataalamu wa kitanzania wako nchi za kusini mwa Afrika, Amerika kasikazini/kusini, Ulaya, China, Uingereza, nk ambao wanaweza kushawishiwa kuja kujenga nchi yao kwa uzalendo lakini sio hawa wanaotafuta kujineemesha wenyewe bila faida kwa taifa na wananchi wake.
hao wataalamu wameleta maendeleo gani mpaka leo ambayo nawewe unafaidi
 
Wazo zuri Sana lakini kusema wizara hiyo apewe Muhongo hapo nasema big No. Mzee wa madili Sana yule, abaki kupiga makofi tuu Bungeni inatosha.
 
H

hao wataalamu wameleta maendeleo gani mpaka leo ambayo nawewe unafaidi
Huyo mtu wako unayempigia debe bila aibu kafanya kitu gani tangu asomeshwe na serikali?

Alikimbilia nchi za nje na alirudi baada ya kuaihidiwa kupewa nafasi za juu lakini aliboronga.

Manefaa ya watalaamu wengine ndio yanayokuwezesha wewe sasa kuandika hicho unachokidemkia hapa.
 
Moja alipo chukuwa fomu ya URais na nyingine alipo kuwa na ligi na Ole sendeka
Nina kushauri uwakusanye maprofesa wenye tabia na hulka kama zake kisha uwakutanishe na wa darasa la saba kama Msukuma, Ole Sendeka (kwa mjibu wako), Kishimba (ijapokuwa kwa sasa ni msomi mmbobevu) halafu pembua hoja kati ya hao ni zipi zenye mashiko na zinatekelezeka kwa ufanisi.

Mwisho wa siku utagundua utajua kuwa haujui chochote na hutakuja kujua kwa namna yoyote
 
Nina kushauri uwakusanye maprofesa wenye tabia na hulka kama zake kisha uwakutanishe na wa darasa la saba kama Msukuma, Ole Sendeka (kwa mjibu wako), Kishimba (ijapokuwa kwa sasa ni msomi mmbobevu) halafu pembua hoja kati ya hao ni zipi zenye mashiko na zinatekelezeka kwa ufanisi.

Mwisho wa siku utagundua utajua kuwa haujui chochote na hutakuja kujua kwa namna yoyote
duh
 
Nina kushauri uwakusanye maprofesa wenye tabia na hulka kama zake kisha uwakutanishe na wa darasa la saba kama Msukuma, Ole Sendeka (kwa mjibu wako), Kishimba (ijapokuwa kwa sasa ni msomi mmbobevu) halafu pembua hoja kati ya hao ni zipi zenye mashiko na zinatekelezeka kwa ufanisi.

Mwisho wa siku utagundua utajua kuwa haujui chochote na hutakuja kujua kwa namna yoyote
😂😂😂😂😂😂Mkuu binadamu huwa wanabadirika.
 
Hii wizara iwe responsible kwenye mambo ya utafutaji (exploration), uzalishaji (production), usafishaji (refining), usambazaji (distribution), uuzaji (marketing), kuingizaji kutoka nje ya nchi (import), na utoaji kwenda nje ya nchi (export), pamoja na conservation of petroleum, natural gas, petroleum products, and liquefied natural gas Tanzania.

Maeneo muhimu ambayo ningependa hii wizara ihusike nayo ni haya yafuatayo.

1. Exploration and exploitation of petroleum resources, including natural gas (methane, helium)

2. Production, supply distribution, marketing and pricing of petroleum including natural gas and petroleum products.

3. Oil refineries, including Lube plants and natural gas plants.

4. Natural gas utilization to get valuable products.

5. Additives for petroleum and petroleum products.

6. Lube blending and greases.

7. Planning, development and control of, and assistance to all industries dealt with by the Ministry.

8. Planning, development and regulation of gasfield and oilfield services.

9. Administration of various Central laws relating to Petroleum and Natural Gas.

Ningependa wizara ya nishati ishughurikie mambo ya kuzalisha, kusambaza na kuuza umeme.

Ishughurikie uzalishaji wa umeme kutoka vyanzo mbalimbali mfano maji, gesi, joto ardhi, upepo, jua, mawimbi ya bahari n.k.

Huo ndio ushauri wangu,
Ninahisi ikiwa hivi tutaipunguzia wizara ya nishati mzigo, na tutaongeza ufanisi na ukuaji katika sekta ya mafuta na gesi Tanzania.

Nina imani Prof. Muhongo amejifunza hawezi kufanya ujanja tena. Nimempendekeza yeye kwasababu bwana Muhongo ana passion na mambo ya mafuta na gesi kwa hivyo atafanya kazi kwa bidii ili kuendeleza sekta hii Tanzania.

Karibuni kwa maoni.
Hivi saivi mafuta yapo kwenye nishati?
 
Back
Top Bottom