Nivigumu kumuelewa mwenye nia yakuto eleweka!
Shoriiiii?
shoriii?
Wakuu nimepata kashori kasupu ile kishenzi katoto ka mjini mjini.....so tumepanga date....naombeeni ushauri nataka ni msuprise huyu shori....please ushauri nimsuprise niaje?
arifu acha utani aisee....vits sio kabisa mtu wangu.....iphone5 yah kidogo ila sidhani kama atakuwa surprised sana.....town mashori kibao washapewa surprise ya namna hiyo....visimu simu dizaini itakuwa haukamuKademu kangu kasupu lol unanikumbusha wimbo wa Bamboo compee! Mnunulie vitz bwana na iphone5!
Unataka umsapraizi? Hebu mpeleke kwa mama ntilie mkale wali nyama.
lol...hii ni surprise au ni reality? lol
Wakuu nimepata kashori kasupu ile kishenzi katoto ka mjini mjini.....so tumepanga date....naombeeni ushauri nataka ni msuprise huyu shori....please ushauri nimsuprise niaje?
Well...inategemea. Kama ni shori wa kishua hiyo itakuwa bonge la sapraizi. Ila kama ni wa uswazi kutakuwa hakuna jipya.
Hivi unadhani Manka au Koku wa Masaki ukiwapeleka kwa mama ntilie pale Magomeni karibu na Travertine hotel haitakuwa sapraizi kwao?
Lakini Zai au Habiba wa Magomeni Kondoa ukiwapeleka hapo wala hawatashangaa. Wapeleke Serena uone watavyokuwa sapraizd
Inaelekea hatutaelewana labda niwape intro ya haka ka shori.....ni hivi vitoto visomi visomi vitumiavyo BBM kwa saana kinajua movie,you whats up nyiingi kwa saana,sio wa kishua saana ila mboga nne zipo kwao.....kama viwanja avijua sana....nilifikiria nimpe bonge la suprise la nguvu runaway pale lakini mazingira pale ingekula kwangu....aisee kichwa kimeuma sijapata surprise wakuu
Sasa huyo Manzi wako mpya njia ya kumsuprise mbona raisi tu chali yangu.
Kwanza kabisa waweza mfata kwao ili umtoe dinner, si unajua manzi wa kisasa hawamaintain wala nini, na ujipange uzuriii, hawakawii ku oder Lobster au Iranian Caviar ukabaki watoa mijichoooo kama mjusi kabanwa na mlango. Ukiwa bado jicho limekutoka wakaagiza Moet kushushia ukakosa la kusema.
Kama uko na shortage ya cash basi take her for a movie, kuna cinema nyingi zina premier this month.