Carleen
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 7,502
- 25,109
Haha..Wivu tu, kama vipi DM iko wazi
Hapa umenambia ama umenichamba?
Haha..Wivu tu, kama vipi DM iko wazi
Tulianza kukutana bombani, kadri siku zilivyosonga tukazoeana na akataka kupajua ghetto kwangu nikamwonyesha. Juzi kati akaniletea zawadi ya vest! Niliipokea lakini sikuivaa. Sasa nashangaa sijawahi kumkaribia kimwili lakini nimeshtushwa na kauli yake ya kuniomba nimuoe!
Sasa hapo kosa ni lake au lako?Tatizo lake hakumaliza Hata primary. Hajui Hata kuchati. Ukimtext yeye anapiga
Hivi mtu akiwa la tatu ananyang’anywa k au? Maana sielewiWakuu Habari za muda huu!
Tulianza kukutana bombani, kadri siku zilivyosonga tukazoeana na akataka kupajua ghetto kwangu nikamwonyesha. Juzi kati akaniletea zawadi ya vest! Niliipokea lakini sikuivaa. Sasa nashangaa sijawahi kumkaribia kimwili lakini nimeshtushwa na kauli yake ya kuniomba nimuoe!
Kusema kweli kwa muonekano ni mrembo na msafi na ana upeo mkubwa kiasi, changamoto imebaki kuwa ni elimu. Aliishia Darasa la Tatu wakati mimi natarajia mwakani nivae Joho la Degree.
Ushauri wenu tafadhali
"Yaani mayidianakupedasanamumewaguwafoa"Muoe ila jiandae kwa messages zenye mafua.. Yaani mayidianakupedasanamumewaguwafoa
una uzoefu na wanawake wa design hiyo?Hilo ni bonge la bahati, wanawake wa hivyo hawasumbuagi, ukimuoa huyo ni wakufa na kuzikana. Usichezee bahati mkuu.
Kwan mkioana mtakuwa natumiana txt humo ndani?Tatizo lake hakumaliza Hata primary. Hajui Hata kuchati. Ukimtext yeye anapiga