Am I Crazy?
Member
- Jan 12, 2009
- 10
- 2
Ndugu wana JF
Naomba mnipe ushauri make nisije nikaingia choo cha kike.
Nimebahatika kupata shule marekani nasoma masomo ya level ya masters na nategemea kumaliza mwakani inshallah Mungu akijaalia. Nimekuwa nikijiuliza swali hapo juu na nimeongea na marafiki zangu lakini misimamo inatofautiana huku wengine wakisema ati USA siku hizi hailipi na wengine wakisisitiza nisipoteze nafasi hii. Kwa kifupi nina nafasi ya wazi kufanya kazi(professional siyo box) US nikimaliza shule na naweza kuwa napata kati ya USD 70,000 na 90,000 kwa mwaka. Sasa machale yananicheza je niplan kukaa zangu US au nirudi kulijenga Taifa baada ya shule?
Naombeni ushauri jamani kwa wenye experience na maisha ya sasa Marekani make niko njia panda.
Ahsanteni sana
Naomba mnipe ushauri make nisije nikaingia choo cha kike.
Nimebahatika kupata shule marekani nasoma masomo ya level ya masters na nategemea kumaliza mwakani inshallah Mungu akijaalia. Nimekuwa nikijiuliza swali hapo juu na nimeongea na marafiki zangu lakini misimamo inatofautiana huku wengine wakisema ati USA siku hizi hailipi na wengine wakisisitiza nisipoteze nafasi hii. Kwa kifupi nina nafasi ya wazi kufanya kazi(professional siyo box) US nikimaliza shule na naweza kuwa napata kati ya USD 70,000 na 90,000 kwa mwaka. Sasa machale yananicheza je niplan kukaa zangu US au nirudi kulijenga Taifa baada ya shule?
Naombeni ushauri jamani kwa wenye experience na maisha ya sasa Marekani make niko njia panda.
Ahsanteni sana