Ushauri: Hivi kuishi na kufanya kazi Marekani bado ni dili?

Am I Crazy?

Member
Jan 12, 2009
10
2
Ndugu wana JF

Naomba mnipe ushauri make nisije nikaingia choo cha kike.
Nimebahatika kupata shule marekani nasoma masomo ya level ya masters na nategemea kumaliza mwakani inshallah Mungu akijaalia. Nimekuwa nikijiuliza swali hapo juu na nimeongea na marafiki zangu lakini misimamo inatofautiana huku wengine wakisema ati USA siku hizi hailipi na wengine wakisisitiza nisipoteze nafasi hii. Kwa kifupi nina nafasi ya wazi kufanya kazi(professional siyo box) US nikimaliza shule na naweza kuwa napata kati ya USD 70,000 na 90,000 kwa mwaka. Sasa machale yananicheza je niplan kukaa zangu US au nirudi kulijenga Taifa baada ya shule?

Naombeni ushauri jamani kwa wenye experience na maisha ya sasa Marekani make niko njia panda.

Ahsanteni sana
 
Ndugu wana JF

Naomba mnipe ushauri make nisije nikaingia choo cha kike.
Nimebahatika kupata shule marekani nasoma masomo ya level ya masters na nategemea kumaliza mwakani inshallah Mungu akijaalia. Nimekuwa nikijiuliza swali hapo juu na nimeongea na marafiki zangu lakini misimamo inatofautiana huku wengine wakisema ati USA siku hizi hailipi na wengine wakisisitiza nisipoteze nafasi hii. Kwa kifupi nina nafasi ya wazi kufanya kazi(professional siyo box) US nikimaliza shule na naweza kuwa napata kati ya USD 70,000 na 90,000 kwa mwaka. Sasa machale yananicheza je niplan kukaa zangu US au nirudi kulijenga Taifa baada ya shule?

Naombeni ushauri jamani kwa wenye experience na maisha ya sasa Marekani make niko njia panda.

Ahsanteni sana

Inategemea major yako ni ipi na unasoma chuo gani.
Kama umebahatika kwenda kuifanya hiyo masters degree kwenye ivy league university e.g Harvard, UPenn ama Princeton etc., ama any elite university e.g Stanford, U-Chicago, MIT etc basi utakuwa na chances nzuri za kupata kazi nzuri yenye kukupatia 6-figures depending na major yako sababu most prominent employers wanawafuata wanafunzi wa vyuo hivi mashuleni
 
Ndugu wana JF

Naomba mnipe ushauri make nisije nikaingia choo cha kike.
Nimebahatika kupata shule marekani nasoma masomo ya level ya masters na nategemea kumaliza mwakani inshallah Mungu akijaalia. Nimekuwa nikijiuliza swali hapo juu na nimeongea na marafiki zangu lakini misimamo inatofautiana huku wengine wakisema ati USA siku hizi hailipi na wengine wakisisitiza nisipoteze nafasi hii. Kwa kifupi nina nafasi ya wazi kufanya kazi(professional siyo box) US nikimaliza shule na naweza kuwa napata kati ya USD 70,000 na 90,000 kwa mwaka. Sasa machale yananicheza je niplan kukaa zangu US au nirudi kulijenga Taifa baada ya shule?

Naombeni ushauri jamani kwa wenye experience na maisha ya sasa Marekani make niko njia panda.

Ahsanteni sana

Hujaelezea uhakika wako wa kupata kazi bongo na range ya mshahara utakaokuwa unapata. Na pia hukop Marekani ni wapi hasa utakuwa ukiishi baada ya kumaliza shule na kuanza hiyo kazi!! Pia inategemeana na what is ur plan for future maana not alwayz money is the determinant. na X amont of money in New York thamani yake haitakuwa sawa na that X in Denver for example!

Lakini all in all these days, kufanya kazi marekani, UK, kenya na hata Indonesia is just the same na mtu anayetokea kagera kwenda kufanya kazi Mtwara.
 
Inategemea major yako ni ipi na unasoma chuo gani.
Kama umebahatika kwenda kuifanya hiyo masters degree kwenye ivy league university e.g Harvard, UPenn ama Princeton etc., ama any elite university e.g Stanford, U-Chicago, MIT etc basi utakuwa na chances nzuri za kupata kazi nzuri yenye kukupatia 6-figures depending na major yako sababu most prominent employers wanawafuata wanafunzi wa vyuo hivi mashuleni

Nashukuru sana mkuu, chuo changu kipo kati ya top ten universities za marekani, so nina uhakika ni chuo kizuri sana ndo maana nikapigana kukichagua.
 
Hujaelezea uhakika wako wa kupata kazi bongo na range ya mshahara utakaokuwa unapata. Na pia hukop Marekani ni wapi hasa utakuwa ukiishi baada ya kumaliza shule na kuanza hiyo kazi!! Pia inategemeana na what is ur plan for future maana not alwayz money is the determinant. na X amont of money in New York thamani yake haitakuwa sawa na that X in Denver for example!

Lakini all in all these days, kufanya kazi marekani, UK, kenya na hata Indonesia is just the same na mtu anayetokea kagera kwenda kufanya kazi Mtwara.

Mkuu, kwa research niliyofanya naona graduates wenye elimu kama nitakayokuwa nayo nikimaliza wanapata 4m-6m TZS per month kwa bongo. Tatizo kubwa ninaloliona ni mji wa kuishi make connections nilizonazo za kazi naona kuna uwezekano wa kupata kazi mji expensive kama New York, ndo maana machale yananicheza nisije nikafurahi nimeula kumbe nafanyia kulipa bili tu. Ofcourse mi plan yangu si kukaa ugaibuni milele,maisha yangu nayapanga tanazania lakini kwa sasa naangalia kujiweka sawa kimaisha kwanza maanake kutafuta njuruku zilipo.

Nashukuru sana kwa ushauri wako
 
Mkuu, kwa research niliyofanya naona graduates wenye elimu kama nitakayokuwa nayo nikimaliza wanapata 4m-6m TZS per month kwa bongo. Tatizo kubwa ninaloliona ni mji wa kuishi make connections nilizonazo za kazi naona kuna uwezekano wa kupata kazi mji expensive kama New York, ndo maana machale yananicheza nisije nikafurahi nimeula kumbe nafanyia kulipa bili tu. Ofcourse mi plan yangu si kukaa ugaibuni milele,maisha yangu nayapanga tanazania lakini kwa sasa naangalia kujiweka sawa kimaisha kwanza maanake kutafuta njuruku zilipo.

Nashukuru sana kwa ushauri wako
New York is expensive kwa watu wenye kipato cha chini. Kama you make 6 figure salary say 200K a year, NY haitokuwa expensive kwako. Tena uta-enjoy sana life ya Big Apple.
 
Kama hujaoa na huna watoto $70k-90k ni mshahara mzuri. Kama unaishi NY huo mshahara baada ya kupata appartment na matumizi mengineyo
hautakuwa mkubwa sana. Kwa kulinganisha, kama Tz utalipwa kati ya Sh/- millioni 4-hadi sita, rudi bongo baada ya masomo yako. You are in a better position to save money kwa mshahara huo Bongo kuliko NY. Lakini kama utapata kazi tuseme North Carolina, Georgia na majimbo mengineyo ya kusini huo ni mshahara mkubwa sana na utaweza kusave vya kutosha.
 
Sorry mkuu kutaja jina kabisa inakuwa ngumu, nataka kikae anonymous ili nipate ushauri usiokuwa na mlengo wowote. Ahsante sana kwa ushauri wako kaka, i appreciate.
hiyo top 10 list of best MBA programs inabadilika kila siku. Sasa tuambie ili tukushauri. Sina nia ya kukubughudhi.
 
Kama hujaoa na huna watoto $70k-90k ni mshahara mzuri. Kama unaishi NY huo mshahara baada ya kupata appartment na matumizi mengineyo
hautakuwa mkubwa sana. Kwa kulinganisha, kama Tz utalipwa kati ya Sh/- millioni 4-hadi sita, rudi bongo baada ya masomo yako. You are in a better position to save money kwa mshahara huo Bongo kuliko NY. Lakini kama utapata kazi tuseme North Carolina, Georgia na majimbo mengineyo ya kusini huo ni mshahara mkubwa sana na utaweza kusave vya kutosha.
70K kwa big apple is nothing. Ni hela ya kawaida sana ama hela ya kula tu labda uende miji mingine kama alivyonena mkuu Jasusi
 
70K kwa big apple is nothing. Ni hela ya kawaida sana ama hela ya kula tu labda uende miji mingine kama alivyonena mkuu Jasusi

Ahsate sana Vuvuzela, make napiga hesabu hapa tu nasoma lakini hela nayolipia rent room moja tu dola 1100, ndo maana nachanganyikiwa nisije nikacukua kazi nikashindwa hata kurudi nyumbani. Nimeanza kufikiria kuanalyze alternatives ya miji midogo lakini sina uhakika na kazi huko make sehemu ambayo nina uhakika ndo hivyo rum moja $1100. Nikifikiria kurudi bongo naona noma sana foleni mgao duh, jamani nyie mnaokaa huku maisha mnayaendeshaje? Tupeane maujuzi wana-kwetu
 
Ahsate sana Vuvuzela, make napiga hesabu hapa tu nasoma lakini hela nayolipia rent room moja tu dola 1100, ndo maana nachanganyikiwa nisije nikacukua kazi nikashindwa hata kurudi nyumbani. Nimeanza kufikiria kuanalyze alternatives ya miji midogo lakini sina uhakika na kazi huko make sehemu ambayo nina uhakika ndo hivyo rum moja $1100. Nikifikiria kurudi bongo naona noma sana foleni mgao duh, jamani nyie mnaokaa huku maisha mnayaendeshaje? Tupeane maujuzi wana-kwetu
Good luck mkuu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom