Ushauri: Heri aruhusu mikutano leo aanze kuzoea vijembe kabla ya 2020..

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,271
Siku hizi kila anapokwenda ni kupokea nyimbo za sifa tu na mapambio, tofauti na wakati wa kampeni watu watatema nyongo zote walizozitunza kifuani kwa miaka mitano na kumtapikia, itakuwa kazi kwake kujisafisha.

Asipoanza leo kuzoea maswali mazito mazito, magumu na vijembe kutoka kwa wapinzani wake, zitakapoanza kampeni hatajua wamepanga kuhoji maswali gani na kuishia kutoa majibu yasiyoridhisha na kwa hasira.

Imagine anafika Iringa anakuta kuna swali wanataka kujua zile 2.4t alizipeleka wapi, anafika Mbeya Sugu keshamwaga sumu ya hasara inayoletwa na ATCL kwa uamuzi wake wa kununua ndege kwa pupa.

Anakwenda Arusha anakutana na issue ya hasara ya Tanzanite pamoja na kujenga ukuta wa mabilioni, na data anapewa lazima achanganyikiwe.

Anaenda Mwanza anakuta wapinzani wamehoji kwa nini wale maaskari wa dhahabu waliachiwa pamoja na kushikwa red-handed.

Anarudi Dar anaulizwa yale makontena ya makinikia na issue ya kishika uchumba cha $300m zitalipwa lini, na issue ya nyumba za serikali zilizouzwa kiholela imefikia wapi, wakazi wa Kimara nao wanakumbushia fidia yao.

Anaenda Dodoma wanamkumbusha lini atahamia Dodoma, anafika Singida anakumbushwa matibabu ya Lissu na ahadi ya milioni 50 kwa kila kijiji, kama una moyo mdogo lazima umtoe mtu roho.

Anafika Mtwara anakumbushwa suala la korosho, hadi leo wakulima hatujalipwa, lazima afure na kusingizia ni njama za wapinzani wanaotumiwa na mabeberu.

Anafika Kigoma mwisho wa reli anakumbushwa ya MKIRU, Azory, Ben, na kwa nini wakazi wengi wa Kigoma wanahisiwa sio raia wa Tanzania.

Anaenda Kagera anakumbushwa rambirambi za tetemeko, yaani mambo yatakuwa mengi na muda wa kuyajibu atakuwa hana, matokeo ni hasira.

Kama hataruhusu leo mikutano watu wateme nyongo, na kuanza kuzoea kashikashi hizi, ninavyomjua wakati wa kampeni ataona kama ni personal attack lazima wengi wataishia jela kwa mashtaka ya uchochezi na kumtukana rais kumbe ni masuala ya kawaida sana kwenye kampeni.
 
Usisahau milioni 50 kwa kila kijiji,kufukuza wenye vyeti feki huku akimbeba Bashite,matendo ya watu wasiojulikana(utekaji,mauaji,watu kupotea,n.k),kutelekeza watumishi wa umma,bomoabomoa huku akiagiza Mwanza wasibomolewe kisa wamempigia kura.

Mengine ni kuzima Bunge live,kunyanyasa wapinzani,kuminya uhuru wa watu kujieleza,kunyonga demokrasia,trlioni 2.5 n.k.Yaani mambo ni mengi kupita maelezo.

Kwahiyo,hata kama atatangazwa mshindi na hii tume isiyo huru,lakini kwenye kampeni atakuwa amepata majibu sahihi kama anakubalika au laa.
 
Tume huru doesnt exists. Why? Because even tume huru inachaguliwa na mgombea. Sasa mgombea anasgindwaje kuweka watu wake kwenyw hizo nafasi wamtangaze yeye?
Hata kama atatangwa mshindi na hii tume isiyo huru,lakini kwenye kampeni atakuwa amepata majibu sahihi kama anakubalika au laa.
 
Asipoanza leo kuzoea maswali mazito mazito, magumu na vijembe kutoka kwa wapinzani wake, zitakapoanza kampeni hatajua wamepanga kuhoji maswali gani na kuishia kutoa majibu yasiyoridhisha na kwa hasira.

Imagine anafika Iringa anakuta kuna swali wanataka kujua zile 2.4t alizipeleka wapi, anafika Mbeya Sugu keshamwaga sumu ya hasara inayoletwa na ATCL kwa uamuzi wake wa kununua ndege kwa pupa, na data anapewa.

Anakwenda Arusha anakutana na issue ya hasara ya Tanzanite pamoja na kujenga ukuta wa mabilioni, lazima achanganyikiwe.

Anaenda Mwanza anakuta wapinzani wamehoji kwa nini wale maaskari wa dhahabu waliachiwa pamoja na kushikwa ready handed.

Anarudi Dar anaulizwa yale makontena ya makinikia na issue ya kishika uchumba cha $300m zitalipwa lini, na issue ya nyumba za serikali zilizouzwa kiholela imefikia wapi.

Anafika Mtwara anakumbushwa suala la korosho, hadi leo wakulima hatujalipwa, lazima afure na kusingizia ni njama za wapinzani wanaotumiwa na mabeberu.

Anafika Kigoma mwisho wa reli anakumbushwa ya MKIRU, Azory, Ben, na kwa nini wakazi wengi wa Kigoma wanahisiwa sio raia wa Tanzania.

Anaenda Kagera anakumbushwa rambirambi za tetemeko, yaani mambo yatakuwa mengi na muda wa kuyajibu atakuwa hana, matokeo ni hasira.

Kama hataruhusu leo mikutano watu wateme nyongo, na kuanza kuzoea kashikashi hizi, ninavyomjua wakati wa kampeni ataona kama ni personal attack lazima wengi wataishia jela kwa mashtaka ya uchochezi na kumtukana rais kumbe ni masuala ya kawaida sana kwenye kampeni.
Hafikirii kutoka madarakani hata baada ya 2025,2020 ndo mwaka mbaya kuliko yote Tanzania, wapinzani watauawa na wengi watapotea.
Ana njama za kumuua Membe na wazee waliopanga kumpinga kwenye chama, TB JOSHUA'S Prophecy on Tanzania will finally be fulfilled...Unadhani Damu za kina Ben Saanane, Azori Gwanda na wengine zilimwagika bure?
Damu humlilia Mungu ikidai kisasi, stay tuned, mtashuhudia mazito.
 
Ukweli ni kuwa hizo kampeni zitagubikwa na ukatili wa kiwango cha kutisha dhidi ya wapinzani wa kweli, tena utafanywa kwa uratibu wa vyombo vya dola. Ukweli ni kuwa jamaa hawezi siasa za aina yoyote za ushindani kwani sio mshindani. Hilo halijalishi kuwa ni wakati wa kampeni au kabla. Na hatakuwa na swali lolote la kujibu zaidi ya kuhubiri kwani hana uwezo wa kutoa majibu sahihi, na hawezi wala hatataka mdahalo wowote.
 
Ukweli ni kuwa hizo kampeni zitagubikwa na ukatili wa kiwango cha kutisha dhidi ya wapinzani wa kweli, tena utafanywa kwa uratibu wa vyombo vya dola. Ukweli ni kuwa jamaa hawezi siasa za aina yoyote za ushindani kwani sio mshindani. Hilo halijalishi kuwa ni wakati wa kampeni au kabla. Na hatakuwa na swali lolote la kujibu zaidi ya kuhubiri kwani hana uwezo wa kutoa majibu sahihi, na hawezi wala hatataka mdahalo wowote.
2020 ni mwaka wa Roho ya Mauti kwa Tanzania
 
kwa hali ilivyo kwa sasa siamini kampeni kama zitafanyika mwaka 2020
 
Hafikirii kutoka madarakani hata baada ya 2025,2020 ndo mwaka mbaya kuliko yote Tanzania, wapinzani watauawa na wengi watapotea.
Ana njama za kumuua Membe na wazee waliopanga kumpinga kwenye chama, TB JOSHUA'S Prophecy on Tanzania will finally be fulfilled...Unadhani Damu za kina Ben Saanane, Azori Gwanda na wengine zilimwagika bure?
Damu humlilia Mungu ikidai kisasi, stay tuned, mtashuhudia mazito.
Yaani nimesikia kusisimka mwili mzima. Shida yake huyu jamaa ni ujuaji mwingi hadi kuwaponda walio mchonga huku kile kikuku cha kuchongea bado kiko mikononi mwao. Lazima watamharibu tuu ndani ya chama.
Ndio maana anauogopa sana uchaguzi wa ndani kwani huko hawezi kutumia dola tofauti na huku anako waambia nikuajiri na kukulipa (kama vile fedha zinatoka account yake ya CRDB) kisha unamtangaza mpinzani?
 
Kuna sheria inakuja inayo kataza kutaja jina la magufuli kwenye kampeni
Siku hizi kila anapokwenda ni kupokea nyimbo za sifa tu na mapambio, tofauti na wakati wa kampeni watu watatema nyongo zote walizozitunza kifuani kwa miaka mitano na kumtapikia, itakuwa kazi kwake kujisafisha.

Asipoanza leo kuzoea maswali mazito mazito, magumu na vijembe kutoka kwa wapinzani wake, zitakapoanza kampeni hatajua wamepanga kuhoji maswali gani na kuishia kutoa majibu yasiyoridhisha na kwa hasira.

Imagine anafika Iringa anakuta kuna swali wanataka kujua zile 2.4t alizipeleka wapi, anafika Mbeya Sugu keshamwaga sumu ya hasara inayoletwa na ATCL kwa uamuzi wake wa kununua ndege kwa pupa.

Anakwenda Arusha anakutana na issue ya hasara ya Tanzanite pamoja na kujenga ukuta wa mabilioni, na data anapewa lazima achanganyikiwe.

Anaenda Mwanza anakuta wapinzani wamehoji kwa nini wale maaskari wa dhahabu waliachiwa pamoja na kushikwa red-handed.

Anarudi Dar anaulizwa yale makontena ya makinikia na issue ya kishika uchumba cha $300m zitalipwa lini, na issue ya nyumba za serikali zilizouzwa kiholela imefikia wapi, wakazi wa Kimara nao wanakumbushia fidia yao.

Anaenda Dodoma wanamkumbusha lini atahamia Dodoma, anafika Singida anakumbushwa matibabu ya Lissu na ahadi ya milioni 50 kwa kila kijiji, kama una moyo mdogo lazima umtoe mtu roho.

Anafika Mtwara anakumbushwa suala la korosho, hadi leo wakulima hatujalipwa, lazima afure na kusingizia ni njama za wapinzani wanaotumiwa na mabeberu.

Anafika Kigoma mwisho wa reli anakumbushwa ya MKIRU, Azory, Ben, na kwa nini wakazi wengi wa Kigoma wanahisiwa sio raia wa Tanzania.

Anaenda Kagera anakumbushwa rambirambi za tetemeko, yaani mambo yatakuwa mengi na muda wa kuyajibu atakuwa hana, matokeo ni hasira.

Kama hataruhusu leo mikutano watu wateme nyongo, na kuanza kuzoea kashikashi hizi, ninavyomjua wakati wa kampeni ataona kama ni personal attack lazima wengi wataishia jela kwa mashtaka ya uchochezi na kumtukana rais kumbe ni masuala ya kawaida sana kwenye kampeni.
 
Back
Top Bottom