johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,873
Niwe mkweli Gwajima ni mgombea pekee wa CCM " aliyebahatika" kufanyiwa kampeni na Dr Magufuli karibu katika kila kata ya jimbo la Kawe.
Wakati akielekea kwenye mkutano mkuu wa kampeni wa wilaya ya Kinondoni Dr Magufuli alisimama katika kata zote msafara wake ulipopita jimboni Kawe na kuomba kura kwa ajili yake na kumuombea Gwajima pia.
Endapo Gwajima atashindwa mbele ya Halima Mdee basi namshauri aachane kabisa na siasa na nitamwomba Rais Magufuli amteue Pascal Mayalla kwenye zile nafasi zake 10.
Maendeleo hayana vyama!
Wakati akielekea kwenye mkutano mkuu wa kampeni wa wilaya ya Kinondoni Dr Magufuli alisimama katika kata zote msafara wake ulipopita jimboni Kawe na kuomba kura kwa ajili yake na kumuombea Gwajima pia.
Endapo Gwajima atashindwa mbele ya Halima Mdee basi namshauri aachane kabisa na siasa na nitamwomba Rais Magufuli amteue Pascal Mayalla kwenye zile nafasi zake 10.
Maendeleo hayana vyama!