Heri ya Mwaka mpya.
Naomba ushauri, je kwa maksio nyumba ya vumba vitatu,jiko na sitting room ukiwa umetumia Tiles,Gypsum na badi hiz ngumu zinazofanana na vigae inaweza kughalimu sh ngapi kwa Dar. Nipatien mawazo ili nijaribu kutafuta mkopo.
Asanteni
Naomba ushauri, je kwa maksio nyumba ya vumba vitatu,jiko na sitting room ukiwa umetumia Tiles,Gypsum na badi hiz ngumu zinazofanana na vigae inaweza kughalimu sh ngapi kwa Dar. Nipatien mawazo ili nijaribu kutafuta mkopo.
Asanteni