Ushauri gari aina ya DAIHATSU TERIOS

Kuna gari mbili wengi wanachanganya, Daihatsu Terios na kuna ingine ni Daihatsu Terios Kid!!

Terios ina engine yenye CC 1290 wakati Terios Kid ina CC 660.

Nimeitumia sana Daihatsu Terios, ni gari nzuri mno! Ina nguvu inapita popote pale iwe lami au rough road kufupi inafaa kwa sie wajasiriamali wa porini!!

Pia watu wanasema huwezi kwenda speed, nilikuwa nakanyaga mpaka 140 kwenye route ndefu!

Nishatoka nayo Mbeya to Arusha kupitia Dar (nilikuwa na ishu Dar nikapita hapo na kugeuza muda huo huo kuelekea Arusha) bila kuipumzisha!

Kifupi ni gari nzuri, fuel consumption yake ipo vizuri sana.

Kuhusu spare zinapatikana ila kwa maduka machache, mie nilikuwa napata gerezani kuna jamaa anaitwa Swahiba ana spare za kutosha za terios!! Na huwa haitaki spare fake, ila ukiiweka ni mkataba na unasahau!!

Staff mwenzangu nilimpeleka Lushoto na terios yangu, ilipanda kila kona kule mpaka alishangaa!!

Tuliporudi Dar akataka anunue kama ile ile! Kumbe hakuwa makini akanunia Terios Kid, alipoona haina nguvu kama yangu ndipo akaileta na kuniuliza umeifanyaje yako ina nguvu!! Nikamwambia umekosea yako ni kid na si terios 🤣🤣🤣

Aliiuza akanunua terios ya kawaida chini ya usimamizi wangu! Anaipenda kuliko chochote, fuel consumption nzuri, 4wd!! Muda wote safiii, so be careful katika hilo wakuu.

Tatizo lake haichanganyi fasta labda iwe na turbo, ukitaka kununua chukua yenye turbo ni nzuri zaidi!! Pia siyo gari yenye starehe 🤣🤣🤣
UNAFAA KUWA MWALIMU...MAELEZO YAKO YAMEJITOSHELEZA.
 
Terios ni gari nzuri sana, kuna jamaa yangu tuna mapori yetu mahali tunalima lima!! Yeye ana brevis mie nina terios!! Yeye hafiki hata shambani kwake na gari yake, lakini mimi napita shambani kwake nakwenda kilomita tatu zaidi kwenye milima na mabonde nikiwa ndani ya terios mpaka shambani kwangu na ni vipindi vyote masika au jua!!

Hainywi mafuta, ni SUV, ni 4WD na ni ngumu haswa. Nilichafanya niliongeza rims za tairi tuu, comfortability ikaongezeka hata kwenye mabonde.
Naomba kujua matatizo ya hii gari mkuu
 
M
Kuna gari mbili wengi wanachanganya, Daihatsu Terios na kuna ingine ni Daihatsu Terios Kid!!

Terios ina engine yenye CC 1290 wakati Terios Kid ina CC 660.

Nimeitumia sana Daihatsu Terios, ni gari nzuri mno! Ina nguvu inapita popote pale iwe lami au rough road kufupi inafaa kwa sie wajasiriamali wa porini!!

Pia watu wanasema huwezi kwenda speed, nilikuwa nakanyaga mpaka 140 kwenye route ndefu!

Nishatoka nayo Mbeya to Arusha kupitia Dar (nilikuwa na ishu Dar nikapita hapo na kugeuza muda huo huo kuelekea Arusha) bila kuipumzisha!

Kifupi ni gari nzuri, fuel consumption yake ipo vizuri sana.

Kuhusu spare zinapatikana ila kwa maduka machache, mie nilikuwa napata gerezani kuna jamaa anaitwa Swahiba ana spare za kutosha za terios!! Na huwa haitaki spare fake, ila ukiiweka ni mkataba na unasahau!!

Staff mwenzangu nilimpeleka Lushoto na terios yangu, ilipanda kila kona kule mpaka alishangaa!!

Tuliporudi Dar akataka anunue kama ile ile! Kumbe hakuwa makini akanunia Terios Kid, alipoona haina nguvu kama yangu ndipo akaileta na kuniuliza umeifanyaje yako ina nguvu!! Nikamwambia umekosea yako ni kid na si terios 🤣🤣🤣

Aliiuza akanunua terios ya kawaida chini ya usimamizi wangu! Anaipenda kuliko chochote, fuel consumption nzuri, 4wd!! Muda wote safiii, so be careful katika hilo wakuu.

Tatizo lake haichanganyi fasta labda iwe na turbo, ukitaka kununua chukua yenye turbo ni nzuri zaidi!! Pia siyo gari yenye starehe 🤣🤣🤣
Naomba kujua kuhusu udhaifu wa Terios kid kaka imautofauti gani na hii terios yako
 
M
Naomba kujua kuhusu udhaifu wa Terios kid kaka imautofauti gani na hii terios yako
Terios KID engine yake ni CC 660, hizi terios za kawaida ni 1290. Obvious perfomance zitakuwa tofauti, sijawahi kutumia kid naomba nisiisemee.

Terios kubwa tatizo lake kubwa ni upatikanaji wa spares zake tu hasa ukiwa mikoa tofauti na Dar.
 
Kuna gari mbili wengi wanachanganya, Daihatsu Terios na kuna ingine ni Daihatsu Terios Kid!!

Terios ina engine yenye CC 1290 wakati Terios Kid ina CC 660.

Nimeitumia sana Daihatsu Terios, ni gari nzuri mno! Ina nguvu inapita popote pale iwe lami au rough road kufupi inafaa kwa sie wajasiriamali wa porini!!

Pia watu wanasema huwezi kwenda speed, nilikuwa nakanyaga mpaka 140 kwenye route ndefu!

Nishatoka nayo Mbeya to Arusha kupitia Dar (nilikuwa na ishu Dar nikapita hapo na kugeuza muda huo huo kuelekea Arusha) bila kuipumzisha!

Kifupi ni gari nzuri, fuel consumption yake ipo vizuri sana.

Kuhusu spare zinapatikana ila kwa maduka machache, mie nilikuwa napata gerezani kuna jamaa anaitwa Swahiba ana spare za kutosha za terios!! Na huwa haitaki spare fake, ila ukiiweka ni mkataba na unasahau!!

Staff mwenzangu nilimpeleka Lushoto na terios yangu, ilipanda kila kona kule mpaka alishangaa!!

Tuliporudi Dar akataka anunue kama ile ile! Kumbe hakuwa makini akanunia Terios Kid, alipoona haina nguvu kama yangu ndipo akaileta na kuniuliza umeifanyaje yako ina nguvu!! Nikamwambia umekosea yako ni kid na si terios 🤣🤣🤣

Aliiuza akanunua terios ya kawaida chini ya usimamizi wangu! Anaipenda kuliko chochote, fuel consumption nzuri, 4wd!! Muda wote safiii, so be careful katika hilo wakuu.

Tatizo lake haichanganyi fasta labda iwe na turbo, ukitaka kununua chukua yenye turbo ni nzuri zaidi!! Pia siyo gari yenye starehe 🤣🤣🤣
Mkuu naomba mrejesho wa hii gari.Bado unayo?
 
Terios KID engine yake ni CC 660, hizi terios za kawaida ni 1290. Obvious perfomance zitakuwa tofauti, sijawahi kutumia kid naomba nisiisemee.

Terios kubwa tatizo lake kubwa ni upatikanaji wa spares zake tu hasa ukiwa mikoa tofauti na Dar.
Nataka kununua terios kaka.Hii ya cc 1290 unanishauri nn
 
Back
Top Bottom