Dahh mkuu, mpk kufikia kusema hivyo inaonekana ulipitia mengi Sana mpk kufikia apo.Sinaga wivu kabisa. Natumiaga akili kwenye mapenzi na sio moyo.
Sinaga muda wa kumlinda mke. Nampa uhuru wa kutosha kabisa. Ila siku nikigundua anagawa mali yangu kwa mkuyenge mwingine nitampa ruhusa ya milele akaendelee naye.
Unforgetable
Duh!!!!Aandae nepi za kutosha maana ukimwi wangu niule wa 1990 sio huu wa ARVs
hapana mkuu huwa simendei vya watu!!!Mkuu ndi wew unafikishiwa ujumbe nini
Period..Sinaga wivu kabisa. Natumiaga akili kwenye mapenzi na sio moyo.
Sinaga muda wa kumlinda mke. Nampa uhuru wa kutosha kabisa. Ila siku nikigundua anagawa mali yangu kwa mkuyenge mwingine nitampa ruhusa ya milele akaendelee naye.
Unforgetable
mi naona wewe ndo umenikazia kwamba hujaelewa nilichozungumzia...!Mkuu naona umenikazia fuvu kwamba et hujaelewa nlichomaanisha