Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,223
- 6,467
Mada hapo juu yaeleweka vizuri sana. Mnafahamu kiendeleacho nchini hivi sasa. Katavi, Njombe, Mtwara na Tanga hakuna uchaguzi. Hela nyingi zimenusirika kulipa posho za wasimamizi, karatasi, wino, visanduku, usafirishaji nk.
Hata mitaa na vijiji vingi kwingineko hakuna uchaguzi wa serikali y mitaa. Naomba serikali sikivu ya Jemedari John Pombe Magufuli izitumie pesa nusurika kujenga vituo vya Afya kwa kadiri ya bajeti ya ujenzi wa kituo kimoja cha Afya kwa wakati huu. Wao kama serikali kupitia Ofisi ya Rais Tamisemi wanafahamu kiasi kilichookolewa na pia tungependa kama wana wanainchi tujuzwe hiyo bakaa.
Hata mitaa na vijiji vingi kwingineko hakuna uchaguzi wa serikali y mitaa. Naomba serikali sikivu ya Jemedari John Pombe Magufuli izitumie pesa nusurika kujenga vituo vya Afya kwa kadiri ya bajeti ya ujenzi wa kituo kimoja cha Afya kwa wakati huu. Wao kama serikali kupitia Ofisi ya Rais Tamisemi wanafahamu kiasi kilichookolewa na pia tungependa kama wana wanainchi tujuzwe hiyo bakaa.