Msaranga
JF-Expert Member
- Feb 10, 2009
- 956
- 227
Wadau,
Mimi nimefanya kazi miaka 12 nikaamua kuacha kazi nikiwa na biashara zangu ndogo ndogo nikajua kiasia nilichonacho NSSF around 60milioni ingeniwezesha kupanua biashara zangu na kwenda mkoani kuwekeza kwenye kilimo.
Cha ajabu nimekaa miezi sita nilivyofuatilia FAO lakujitoa NSSF wakaniambia eti kwa kuwa nimeacha kazi mwenyewe sistahili kupewa fedha zangu nikashangaa sana eti wanaopewa ni walioachishwa kazi tuu.
Sasa wadau naombeni msaada wa ushauri nifanyaje niweze kupata fedha zangu niweze kujiandalia maisha ya uzeeni mwenyewe maana sana nina miaka 38 ninanguvu za kupigania maisha yangu ya baadae mwenyewe.
Nawasilisha
Mimi nimefanya kazi miaka 12 nikaamua kuacha kazi nikiwa na biashara zangu ndogo ndogo nikajua kiasia nilichonacho NSSF around 60milioni ingeniwezesha kupanua biashara zangu na kwenda mkoani kuwekeza kwenye kilimo.
Cha ajabu nimekaa miezi sita nilivyofuatilia FAO lakujitoa NSSF wakaniambia eti kwa kuwa nimeacha kazi mwenyewe sistahili kupewa fedha zangu nikashangaa sana eti wanaopewa ni walioachishwa kazi tuu.
Sasa wadau naombeni msaada wa ushauri nifanyaje niweze kupata fedha zangu niweze kujiandalia maisha ya uzeeni mwenyewe maana sana nina miaka 38 ninanguvu za kupigania maisha yangu ya baadae mwenyewe.
Nawasilisha