1st things first
Member
- May 8, 2019
- 19
- 15
Naomba ushauri wa kujiendeleza kwa mtu mwenye fani ya stashahada ya uuguzi na ukunga na fani hiyo ya kujiendeleza iwe tofauti kabisa na career ya uuguzi au ukunga
Duh mkuu kwa hapo inakua ngumu kwa maana vigezo vya TCU kwa waliotoka diploma wanatakiwa na degree wakasomee walivyosomea diplomaNaomba ushauri wa kujiendeleza kwa mtu mwenye fani ya stashahada ya uuguzi na ukunga na fani hiyo ya kujiendeleza iwe tofauti kabisa na career ya uuguzi au ukunga
iCheki Degree ya usingizi, iko MUHAS.Naomba ushauri wa kujiendeleza kwa mtu mwenye fani ya stashahada ya uuguzi na ukunga na fani hiyo ya kujiendeleza iwe tofauti kabisa na career ya uuguzi au ukunga
Shukran mkuuDuh mkuu kwa hapo inakua ngumu kwa maana vigezo vya TCU kwa waliotoka diploma wanatakiwa na degree wakasomee walivyosomea diploma
kwahyo hapo lazima uiendeleze hiyo field degree huwezi somea tofauti na ulichosomea diploma
Shukran..iCheki Degree ya usingizi, iko MUHAS.
Sawa mkuuUnaweza kwenda fani nyingine kama degree ya usingizi, katibu wa afya na nyinginezo but kwa upande wa udaktari na ufamasia usahau kwa hilo
Surya tia neno