Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 310
Habari Waheshimiwa,
Naomba kuuliza kama ni lazima kwa sheria za kazi Tanzania kwa employer kukupa a written employment contract unapoanza kazi. Na kama ni lazima, na employer akigoma/anazengua...how should i handle this issue - hasa kama kazi inaendelea vizuri?
Shukrani!
Naomba kuuliza kama ni lazima kwa sheria za kazi Tanzania kwa employer kukupa a written employment contract unapoanza kazi. Na kama ni lazima, na employer akigoma/anazengua...how should i handle this issue - hasa kama kazi inaendelea vizuri?
Shukrani!