sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,030
Habari zenu wakuu,
Dada yangu aliolewa mwaka jana na mwenzake na kukawa na sherehe, viapo, n.k. Baada ya ndoa ikapita miezi kama mitatu hivi akarudi kwa wazazi akiwa na mimba akakaa hapo akajifungua fresh mtoto wa kike.
Cha ajabu anaendelea kukaa hapo kwa wazazi hadi sasa, kuna kipindi niliskia aliambiwa aende kwa mume wake ila asubuhi akarudi nikabaki na mshangao. Mume wake hana tatizo kabisa na anapigania sana ndoa irudi, ana kazi shirika binafsi na analipwa fresh tu.
Najua dada yangu ana kiburi fulani hivi ila nashindwa kabisa kujua niwe na msaada upi aende kwa mume wake. Mimi nilishahama hapo kwa wazazi ila naendaga sana kusalimia
Naombeni ushauri please, maumivu nayoyapata pamoja na wazazi ni makali maana hata huyo mtoto sio wetu bora hata mimi mwanaume ningepeeleka mtoto hapo nyumbani
Dada yangu aliolewa mwaka jana na mwenzake na kukawa na sherehe, viapo, n.k. Baada ya ndoa ikapita miezi kama mitatu hivi akarudi kwa wazazi akiwa na mimba akakaa hapo akajifungua fresh mtoto wa kike.
Cha ajabu anaendelea kukaa hapo kwa wazazi hadi sasa, kuna kipindi niliskia aliambiwa aende kwa mume wake ila asubuhi akarudi nikabaki na mshangao. Mume wake hana tatizo kabisa na anapigania sana ndoa irudi, ana kazi shirika binafsi na analipwa fresh tu.
Najua dada yangu ana kiburi fulani hivi ila nashindwa kabisa kujua niwe na msaada upi aende kwa mume wake. Mimi nilishahama hapo kwa wazazi ila naendaga sana kusalimia
Naombeni ushauri please, maumivu nayoyapata pamoja na wazazi ni makali maana hata huyo mtoto sio wetu bora hata mimi mwanaume ningepeeleka mtoto hapo nyumbani