COARTEM
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 3,598
- 3,644
Maalim Seif, Jussa na wengineo siwafahamu vizuri mlipuko Unguja na Pemba nawashauri wote hamieni CHADEMA.
Huyu kidudu mtu Lipumba anatumiwa kuvuruga nguvu ya Upinzani.
Maalim Seif jifanye mjinga, nyie wote mlioko ZANZIBAR hamieni CHADEMA muendeleze mapambano ya kututetea watanganyika na wazanzibari tunao teswa na chama rafiki wa Lipumba
NB: Profesa Lipumba ajibu mapigo ya Maalim Seif, ateua wajumbe wa
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu kidudu mtu Lipumba anatumiwa kuvuruga nguvu ya Upinzani.
Maalim Seif jifanye mjinga, nyie wote mlioko ZANZIBAR hamieni CHADEMA muendeleze mapambano ya kututetea watanganyika na wazanzibari tunao teswa na chama rafiki wa Lipumba
NB: Profesa Lipumba ajibu mapigo ya Maalim Seif, ateua wajumbe wa
Sent using Jamii Forums mobile app