chichimizi
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,074
- 338
Wadau vipi hii gari je inauwezo wa kupiga masafa? (Mkoa mfano Dar iringa) vipi kuhusu spair zake? Inatumia injini aina ya 5A je sio sumbufu? Na inavuta mbele... speed mita inasoma 260. Mwenye kuijua vzr ushauri jamani kabla sijaingiaaa mfukoni.