Usanii ni ubunifu hata kampeni ni ubunifu.
Nilifurahishwa sana na ubunifu wa Marlaw wakati wa kampeni za CCM alipobadilisha wimbo wake wa Pii Pii na kuimba CCM wameanza kuwapigia honi wapinzani Pii pii hawaelewani. Nashauri Chadema (Sugu) watumie wimbo wa Jaguar msanii wa Kenya "Binadamu kigeugeu" uwe wa kuhamasisha kampeni. Napendekeza maneno yafuatayo yawemo kwenye huo wimbo,
---JK kigeugeu- kawageuka RACHEL
---Serikari kigeugeu- mgao wa umeme utakuwa historia nk
---CCM kigeugeu- kujivua gamba
---NEC-CCM kigeugeu siku 90 mara 120 nk.
Pia wanaweza kuchagiza..
LOWASSA- wamemgeukia
ROSTAM- wamemgeukia
CHENGE- wamemgeukia
JAIRO- wamemgeukia nk
Bonyeza hapa upate flava ya wimbo"Binadamu kigeugeu"
Nilifurahishwa sana na ubunifu wa Marlaw wakati wa kampeni za CCM alipobadilisha wimbo wake wa Pii Pii na kuimba CCM wameanza kuwapigia honi wapinzani Pii pii hawaelewani. Nashauri Chadema (Sugu) watumie wimbo wa Jaguar msanii wa Kenya "Binadamu kigeugeu" uwe wa kuhamasisha kampeni. Napendekeza maneno yafuatayo yawemo kwenye huo wimbo,
---JK kigeugeu- kawageuka RACHEL
---Serikari kigeugeu- mgao wa umeme utakuwa historia nk
---CCM kigeugeu- kujivua gamba
---NEC-CCM kigeugeu siku 90 mara 120 nk.
Pia wanaweza kuchagiza..
LOWASSA- wamemgeukia
ROSTAM- wamemgeukia
CHENGE- wamemgeukia
JAIRO- wamemgeukia nk
Bonyeza hapa upate flava ya wimbo"Binadamu kigeugeu"